Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,645
- 155,004
Huyu Mzee Mwanakijiji wa Bagamoyo ataanza lini kutumia helikopta kwenda kwao Bagamoyo?
Wakazi wa Bagamoyo Road tunateseka sana na foleni zinazosababishwa na msafara wake.
Pia kutumia helikopta kutaipunguzia serikali mzigo wa gharama zitokanazo na posho za madereva na mafuta kwenye mashangingi ya kilimo kwanza.
Wakazi wa Bagamoyo Road tunateseka sana na foleni zinazosababishwa na msafara wake.
Pia kutumia helikopta kutaipunguzia serikali mzigo wa gharama zitokanazo na posho za madereva na mafuta kwenye mashangingi ya kilimo kwanza.
Last edited by a moderator: