bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 642
Pamoja na Kuwa na utetezi wa safari zake za nje za mara kwa mara kwamba zinafaida kwa taifa .Je lini ataacha hizo safari?Na lini ataanza kufanya ziara kwa wananchi wa tanzania na kujionea mwenyewe kwa macho wanavyoteseka na mfumo mbaya wa serikali yake?Je anajua watanzania wengi wanaishi kwa matumaini ya kuona siku imepita na hajui kesho atakula wapi, atasomeshaje watoto wake na atatibiwaje?
Sidhani kama yuko makini na majukumu tuliyompa watanzania na amini hata moyo wake unamsuta kwamba serikali na chama chake hakiko makini na ameshindwa kukitendea haki kiti cha urais.
Nadhani hadi 2015 atakuwa ameweka record ya Rais aliyedhurura nchi nyingi za nje kuliko rais mwingine hapa Africa.
Rais wetu JK lini utatembelea kila pembe ya tanzania?
Sidhani kama yuko makini na majukumu tuliyompa watanzania na amini hata moyo wake unamsuta kwamba serikali na chama chake hakiko makini na ameshindwa kukitendea haki kiti cha urais.
Nadhani hadi 2015 atakuwa ameweka record ya Rais aliyedhurura nchi nyingi za nje kuliko rais mwingine hapa Africa.
Rais wetu JK lini utatembelea kila pembe ya tanzania?