Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #41
Unacho-advocate mgawanyiko ni dhana potofu kupita zote
Kinachotakiwa si kuwanyika bali ni kukubaliana katika kutofautiana
kwamba mbuzi na chui wakubaliane kutofautiana kuwa nani kati yao amle mwenzake; halafu wanatakiwa kuheshimu "tofauti hiyo".!