Binti Lawrence
Member
- Dec 21, 2010
- 22
- 0
Wadau naomba kusaidiwa uelewa katika hili. Hivi ni lazima kwa watumishi wote wa serikali, mashirika ya umma na yale yasiyo ya kiserikali kuhifadhi mafao yao katika mfuko wa NSSF?. Na kama si lazima ni taratibu zipi zifuatwe ili kuhamishia mafao yao katika mifuko mingine ya jamii kama PSPF na mingineyo.