TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,077
CHAMA kikubwa sana cha siasa katika nchi ya Lyabishuuri kiliamua kuitisha mkutano wa dharura kupitia kurugezi yake ya propaganda na Mipango.
Dharura hii ilitokana na kuona Jamii Forums imefanikiwa kuwaelimisha raia wa nchi hiyo, hivyo kada wa chama hicho kushindwa kuwaibia raia kwa raha kama zamani.
Ilikudhibiti wimbi hili la JF kuwatilia mchanga kitumbua chao cha kujipenda wenyewe, basi kikao hicho cha dharura kiliazimia kuiagiza serikali ya chama hicho kuhakikisha kuwa IT specialists woote walioko nchini humo kuanza mara moja kazi ya ku'unstall' Jamii Forums kwenye kopyuta zote zilizoko nchini humo na kuhakikisha wana install ANTIJF ya kuzuia Jamii forums is 'run' kwenye kompyuta hizo na zile zote zinazoingizwa nchini humo.
Bajeti ya kazi hiyo ilipitishwa bila kupingwa
Source>>>http://www,RaiaMbea,blogsports,com
Dharura hii ilitokana na kuona Jamii Forums imefanikiwa kuwaelimisha raia wa nchi hiyo, hivyo kada wa chama hicho kushindwa kuwaibia raia kwa raha kama zamani.
Ilikudhibiti wimbi hili la JF kuwatilia mchanga kitumbua chao cha kujipenda wenyewe, basi kikao hicho cha dharura kiliazimia kuiagiza serikali ya chama hicho kuhakikisha kuwa IT specialists woote walioko nchini humo kuanza mara moja kazi ya ku'unstall' Jamii Forums kwenye kopyuta zote zilizoko nchini humo na kuhakikisha wana install ANTIJF ya kuzuia Jamii forums is 'run' kwenye kompyuta hizo na zile zote zinazoingizwa nchini humo.
Bajeti ya kazi hiyo ilipitishwa bila kupingwa
Source>>>http://www,RaiaMbea,blogsports,com