Hahaha! kwahiyo badala ya kupata mpenzi yeye akaishia kuwa mpenzi au lol!be careful,most of them ni midume tu inayotumia id za kike!
be careful,most of them ni midume tu inayotumia id za kike!
Kama wapo wana elementi za ushoga,kwa nini ujifanye wa jinsia tofauti na uliyonayo?
single ladies tupo,ila pengine hatuna vigezo utakavyo au wewe huna vigezo tunavyotaka.....usiwe na haraka,thread bado ipo,watajitokeza tu!!
wana suffer ugonjwa unaitwa gender identity disorder!
single ladies tupo,ila pengine hatuna vigezo utakavyo au wewe huna vigezo tunavyotaka.....usiwe na haraka,thread bado ipo,watajitokeza tu!!
Mnaotafuta ni wengi halafu hamna subira! Lakini hvi mtaa mzima hakuna wanawake kweli? Huwa utembei au? Sion haja ya m2 kutafta mchmb mtandaoni.
Siamini.....mmh mkuu unataka sema LIZZY, AFRODENZI, MANGARA, ASHA D, DENA AMSI na wengine wote ni MIDUME? Unataka tuamini hivyo?
Labda walioona tayari tangazo lako hawana vigezo unavyohitaji na pia wewe hauna vigezo wanavyohitaji. Subiri tu watajitokeza.habari za usiku wapendwa?
Mi naomba nipate kujua hv haya majina ya kike yote ninayo yaona ni kwamba watu hao wamesha wahiwa au? Maana m2 unatangaza unatafuta mpenzi hawajitokezi n'go wanabaki kukucheka.ina mana wote wana watu wao?
mmh mkuu unataka sema LIZZY, AFRODENZI, MANGARA, ASHA D, DENA AMSI na wengine wote ni MIDUME? Unataka tuamini hivyo?