my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Bara la Africa limebarikiwa kila kitu kuliko mabara mengne, lakini bado bara masikini kuliko mabara yote. Je, tatizo ni akili ndogo za wa africa au uvivu? Watu wake wamezoea kupokea wakijua nchi zao zitaendelea kwa kupokea.
Wanalamika kila siku wazungu wanawaibia mali zao bila kutafuta solution yeyote. Mf kuboresha elimu ili wawe wanatoa wanafunzi wnye uelewa ambao wataajriwa ndani ya nchi yao ili waweze kuleta maendeleo na kuacha kuajiri wazungu ambao mnalamika kila siku wanaiba mali zenu.
Wanalamika kila siku wazungu wanawaibia mali zao bila kutafuta solution yeyote. Mf kuboresha elimu ili wawe wanatoa wanafunzi wnye uelewa ambao wataajriwa ndani ya nchi yao ili waweze kuleta maendeleo na kuacha kuajiri wazungu ambao mnalamika kila siku wanaiba mali zenu.