Wana JF naomba kama kuna mwenye uhakika. Nimepata tetesi kuwa baadhi ya vyuo vikuu ambavyo wanafunzi wake tuko likizo fupi ya kumaliza semester 1 vitachelewa kwa kuwa loan board haina hela za kutupa kumalizia huu mwaka. Mi niko kijijini. Naomba kama kuna mwenye uhakika anijulishe vizuri nisijechoma nauli yangu bure.