NI KWELI UWEZI MSAHAU n KUNA WANAUME HAWAWEZI?

Babygood

Member
Jan 24, 2011
11
3
Hivi ni kweli kwamba Msichana hawezi kumsahau mwanaume wake aliesex nae kwa mara ya kwanza hata akiwa kwenye marriage! na ni kweli kwamba kuna Wanaume hawawezi kumtoa mwanamke Bikira?
 
Swali la kwanza, ni kweli mwanamke hawezi kumsahau mwanamume aliyemtoa bikira endapo tuu huyo mwanamke alikuwa akimpenda sana huyo jamaa. Sio hiyo tuu ubikira, hata kama jamaa alikuta pameshafunguliwa, kama mwanamke alikuwa anampenda sana jamaa (ujue wanawake wengi wanapoingia kwenye mahusiano, anapoamua kumpenda mwanamume huwa anampanda jama with true love) af wakaachana, na kama aliyesababisha kuachana ni mwanamume, huyo mwanamke atabaki na hilo kovu moyoni whenever such memories come in her mind.

sina uhakika ila ni mtazamo wangu tuu
 
Ngoja nijaribu kutafakari kwanza ila nadhani kuna ka ukweli hapo!
 
Swali la kwanza, ni kweli mwanamke hawezi kumsahau mwanamume aliyemtoa bikira endapo tuu huyo mwanamke alikuwa akimpenda sana huyo jamaa. Sio hiyo tuu ubikira, hata kama jamaa alikuta pameshafunguliwa, kama mwanamke alikuwa anampenda sana jamaa (ujue wanawake wengi wanapoingia kwenye mahusiano, anapoamua kumpenda mwanamume huwa anampanda jama with true love) af wakaachana, na kama aliyesababisha kuachana ni mwanamume, huyo mwanamke atabaki na hilo kovu moyoni whenever such memories come in her mind.

sina uhakika ila ni mtazamo wangu tuu

inaelekea wewe sio mwanamke
 
Hivi ni kweli kwamba Msichana hawezi kumsahau mwanaume wake aliesex nae kwa mara ya kwanza hata akiwa kwenye marriage! na ni kweli kwamba kuna Wanaume hawawezi kumtoa mwanamke Bikira?
.

Yes. kuna namna mbili positive or negative, kama mara ya kwanza ulimtumia kinguvu hatakusahau katika maisha yake kwa ukatili wako, kama mlikubaliana akakupenda akawa tayari kujitoa kwako ukampokea vizuri ukampa penzi la kweli kisha ikatokea mkaachana kwa amani, kwasababu zilizo nje ya uwezo wenu kweli atakukumbuka sana( atakumis) kama ilitokea mkaachana kwa shari, hatakusahau kwa ubaya wako;
hiyo ya pili kweli sijui, mimi ninavyo jua kinachotoa bikira si mwanaume ni uume.
 
Sidhani kama kuna jibu la moja kwa moja, ila msichana au mvulana kumsahau mtu aliyekuwa naye kwenye mauhusiano ni ngumu ila inaweza kuwa kumbukumbu nzuri au mbaya.
Pili,sidhani kama kuna mwanaume rijali hawezi kumtoa binti bikra sema kuna wanaume hawapendi kufanya hilo tendo kwa karaha mara binti akung'ate,kulia kwa sauti na hata kupigwa hivyo hawapendi kumtoa mtu bikra.

 
mie hata simkumbuki bana,jinsi navosuuzw moyo wangu,mpaka itokee kama nimeulizwa au kujibu swali kama lako.la sivo hata simuwazii
 
Hata kidole na mazoezi yana weza yakamtoa mtu bikira yake si lazima ume
.Yes. kuna namna mbili positive or negative, kama mara ya kwanza ulimtumia kinguvu hatakusahau katika maisha yake kwa ukatili wako, kama mlikubaliana akakupenda akawa tayari kujitoa kwako ukampokea vizuri ukampa penzi la kweli kisha ikatokea mkaachana kwa amani, kwasababu zilizo nje ya uwezo wenu kweli atakukumbuka sana( atakumis) kama ilitokea mkaachana kwa shari, hatakusahau kwa ubaya wako;hiyo ya pili kweli sijui, mimi ninavyo jua kinachotoa bikira si mwanaume ni uume.
 
Hivi ni kweli kwamba Msichana hawezi kumsahau mwanaume wake aliesex nae kwa mara ya kwanza hata akiwa kwenye marriage! na ni kweli kwamba kuna Wanaume hawawezi kumtoa mwanamke Bikira?
hili swali mbona linaulizwa mara nyingi hivi lina maslahi kwa taifa kweli?
 
Hivi kumtoa mtu bikira ni swala la physical body use, su ni pamoja na saikoloji pia?
 
Utasahauje?
Mimi nawakumbuka wa kwanza mpaka wa 32.
Au ulikuwa unamaanisha nini?
 
hizo bikra zikoje jamani...
sijui vijana mshaona ndo kamladi?
kwani ukitoa bikra dudu linabadirka rangi?
sasa nini faida ya kuhangaika kumtoa demu bikra?
na ndo maana nao wanawapiga kanda la kichwa kwa bikra za kina JET LI!
mazima!
 
Back
Top Bottom