MTAMBOKITAMBO
Senior Member
- Jun 2, 2011
- 194
- 39
Habari wadau wa JF!
Hivi jamani,bila kupiga porojo za uongo na kweli kwa mwanamke,unaweza kumpata kiurahisi kweli bila kupigwa calendar?
Maana hawa dada zetu wanadai sisi wanaume ni waongo sana,sasa nauliza,bila uongo inawezekana?
Yani bila hata ya kudanganya ule uongo wa "Zamani nilikuwa nacheza sana Basketball..."
Kuna mtu anayevutiwa na LOSER kweli!?
CHEERS!
Hivi jamani,bila kupiga porojo za uongo na kweli kwa mwanamke,unaweza kumpata kiurahisi kweli bila kupigwa calendar?
Maana hawa dada zetu wanadai sisi wanaume ni waongo sana,sasa nauliza,bila uongo inawezekana?
Yani bila hata ya kudanganya ule uongo wa "Zamani nilikuwa nacheza sana Basketball..."
Kuna mtu anayevutiwa na LOSER kweli!?
CHEERS!