Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,434
- 92,796
Wewe bwegge nilishakwambia kama unatafuta bwana nenda katafute jukwaa la mahusiano, na kama wewe ni mtaalam wa lugha nenda jukwaa la lugha achana na mimi na hili ni onyo la mwisho nakupa moderators nadhani mnafuatilia siku zote huyu juha anavyonifuatafuata, kama nia yake nipigwe ban basi nia yake itatimia maana mimi sihofii ban hata siku moja, niko na ID mingi.haisiani, wayanayochukuwa, ni janga la taifa shule za kata kama vile umeme wetu