mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
Unafanya kazi gani? Kweli unabeba maboxi?
Ningependa kuona unaniambia kazi gani unafanya huko nje ya nchi.mfano kama wewe ni chef. Utaandika MIE CHEF
Basi tu maaana wabeba maboxi bado kichwani nafikiria mnabeba kweli wengine na elimu zenu
Natanguliza ili wanaoogopa ulaya wasidhani ni hali ngumu maisha wakitaka amia huko.
Najiwahi - mie nilisoma na kurudi tz.
Ningependa kuona unaniambia kazi gani unafanya huko nje ya nchi.mfano kama wewe ni chef. Utaandika MIE CHEF
Basi tu maaana wabeba maboxi bado kichwani nafikiria mnabeba kweli wengine na elimu zenu
Natanguliza ili wanaoogopa ulaya wasidhani ni hali ngumu maisha wakitaka amia huko.
Najiwahi - mie nilisoma na kurudi tz.