.....mkuu kwa lile swali lililobeba thread,vp amekugb?:thinking:.au ndio mpaka amalize kuweka sain?(kama anavyo onekena ktk picha).
MGOMBEA UBUNGE KUPITIA CCM NDGU SIOI SOLOMON SUMARI AKIWA NA MH.MWIGULLU LAMECK NCHEMBA KATIBU WA UCHUMI NA FEDHA CCM TAIFA.
huoni hata mwigulu anaishangaa!!Mbona siioni hiyo hereni
Dada huyooo ameolewa, dada huyoooo ameolewa, mahariiiii ishatolewa............mlisema haoi mbona kaolewa!