THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Watetezi katika hilo wanamchukulia gaddaf kama muislamu na si kama kiongozi wa afrika,kwa mantiki hiyo kwa kuwa amin naye alikuwa muislam wangefurahi zaidi tungeshindwa vita kwakuwa nyerere alikuwa mkristo.