<br />Utaratibu kwa mwaka huu umebadirika na uko hivi.. TCU walitoa machaguo, yakapelekwa kwa vyuo husika navyo vikayachuja kwa vigezo vya vyuo hivyo, halafu machaguo ya chuo yakarejeshwa tena TCU kubarikiwa na sasa yamerejeshwa tena vyuoni kila chuo kichukue jukumu la wakuwatangazia wale walio chaguo lao. Pole najua umepata usumbufu, habari ndiyo hiyo, subiri matangazo ya vyuo. kwa nini imekuwa hivyo kwa kweli sina jibu kwa sasa
<br />Utaratibu kwa mwaka huu umebadirika na uko hivi.. TCU walitoa machaguo, yakapelekwa kwa vyuo husika navyo vikayachuja kwa vigezo vya vyuo hivyo, halafu machaguo ya chuo yakarejeshwa tena TCU kubarikiwa na sasa yamerejeshwa tena vyuoni kila chuo kichukue jukumu la wakuwatangazia wale walio chaguo lao. Pole najua umepata usumbufu, habari ndiyo hiyo, subiri matangazo ya vyuo. kwa nini imekuwa hivyo kwa kweli sina jibu kwa sasa
Felow members,! Msiumize akili zenu na hawa Tcu,mtakufa na presha2. Cha muhimu mnaojiandaa kuingia chuo,mumuombe mungu mpate course mnazotaka kusoma kwa moyo wote mana unaweza shangaa una div. One halafu unapata choice ya 8. Sawa jamani?
<br />
<br />
kaka uko serious ama?
List of applicants for Second Round of applications Introduction[FONT=Arial\"][/FONT] [FONT=Arial\"]The second round of applications for applicants who were not selected under the first round is now open. Applicants can view if they are required to apply under this round by clicking the links below. [/FONT][FONT=\"Arial\"][SIZE=\"6\"] [/SIZE][/FONT] 1. Qualified applicants but not selected … 2. Applicants missing three (3) Credits at O'Level … 3. Applicants missing two (2) principles at A'Level …[FONT=\"Arial\"][SIZE=\"6\"] [/SIZE][/FONT] Please note; only applicants with a minimum of three credit passes at O'Level and a minimum of two principle passes at A ‘Level are eligible to apply under this round. [FONT=\"Arial\"] [/FONT]Further note that, there is no application payment for the above-mentioned groups. For further information about deadline for applications, how to apply and available programs please click here … [FONT=Arial\"] [/FONT] |
Click here to view all news. |