Ni Kweli Simu Za Kichina 'Zinazimwa'?

mi nataka zizimwe,ili atakayemiliki kweli awe na uwezo kweli.Cyo kila mtu,mtoto,vijana,wazeze,wajinga,wapumbavu,wanaf.ngendere,mbwa,sungura.n.k.wanamiliki CMU.WHAT IS THAT?imekuwa familia ya Kambale kila mtu ana ndevu.TCRA zima haraka na orijino ianzie laki 2 na kupanda.Hatutaki cmu za buku ten.

Ndugu unaonesha mbinafsi sana ndio nyie mafisadi mnaotaka kila kitu mmiliki nyie wenzenu wenye kipato cha chini wazidi kua chini.
 
htc sio za we ki-china we ng'ombe.....!!!


Acha ubishi wa kijinga pundamilia wewe!! Ni sawa na useme Zanzibar siyo Tanzania. HTC imeasisiwa Taiwan ambayo ni state ndani ya china ingawa ina serikali yake lakini haina kiti kwenye baraza la umoja wa mataifa kama Zenji!! Na kwa taarifa yako sasa hivi makao makuu ya HTC yameshahamishiwa China mainland. Mbuzi kasoro mkia wewe.
 
Acha ubishi wa kijinga pundamilia wewe!! Ni sawa na useme Zanzibar siyo Tanzania. HTC imeasisiwa Taiwan ambayo ni state ndani ya china ingawa ina serikali yake lakini haina kiti kwenye baraza la umoja wa mataifa kama Zenji!! Na kwa taarifa yako sasa hivi makao makuu ya HTC yameshahamishiwa China mainland. Mbuzi kasoro mkia wewe.

paka jizi wewe hata hujui unachokementi, juu umeuliza kama htc za kichina, nimekuelewesha ki-staarabu, lakini unaonekana huelew labda nikueleweshe kwa makonzi ndio utaelewa kuwa htc sio za kichina we kifudu !!
 
mi nataka zizimwe,ili atakayemiliki kweli awe na uwezo kweli.Cyo kila mtu,mtoto,vijana,wazeze,wajinga,wapumbavu,wanaf.ngendere,mbwa,sungura.n.k.wanamiliki CMU.WHAT IS THAT?imekuwa familia ya Kambale kila mtu ana ndevu.TCRA zima haraka na orijino ianzie laki 2 na kupanda.Hatutaki cmu za buku ten.

Unaota wewe!
 
Watu wanashindwa kutofautisha unaposema simu za kichina ni zipi !!!

Simu za kichina ni zile zinazolishwa kwa kutumia majina ya simu nyingine yaani kwa njia ya forgely au zinazolishwa kimagumashi tu , unakuta simu imeandikwa nokia lakini unakuta ndani ni ya ajabu kwenye fonts n.k mfano samusng wanazo double lakin unakuta simu ya samsung ya mchina double laini lakini ndani ni tofauti kabisaa na samsung orijino,

simu orijino/ au ambazo sio za kichina ni zipi ? zina knwn brand names, viwanda vyake vinajulikana viko wapi, makampuni yao yamesajiliwa, wamepass viwango vya kimataifa, zinaknown electronic serial numbersna hizi ndizi watakazozitumia TCRA wakati wa kuzima, kama simu haina electronic known serial number then you will be offf

Kwahiyo simu za kichina zitakazozimwa ni hizo ambazo zimetengenezwa kimagumashi wala hazina utambulisho rasmi wa brand names , majina yao ndio hivyo ya kufoji foji tu, hakuna tbs yoyote ya dunia aliyewathibitisha, wala hazina known electronic serial numbers. mfano wa simu za kichina ambazo hata ukiiangalia unajua hii ni ya kmagumashi nokla , okia , comondo , oking , etc

Kuna brand nyingi tu za kichina ambazo zina known brand names, vilevile ku-pass viwango vyote vya kimataifa, including have known elctronic serial numbers, like zte , huawei , etc
 
Siyo kila made in china ni feki, kama simu yako ina majina matatu nyuma imeandkwa samsung mbele nokia, ukiiwasha tecno jiandae
 
Kaka kuku anakula kulingana na mdomo wake! Sisi wengine vipato vyetu ni vidogo. Ndiyo maana vyakula tunanunua vya mafungu, sukari robo au kijiko, mkaa wa mafungu na kadhalika. Kama unataka anayemiliki simu awe na uwezo, wengine watakuambia tupige marufuku magari yaliyotumika kutoka Dhubai au Japan, yaletwe ma Hammer au VX 9! Au usafiri uwe wa ndege tu hapa nchini, je, itawezekana?
Ni kweli Mkuu unachosema,lakni pia tuangalie Mazingra ya kitu chenyewe hasa hasa kwenye athari zake.Mf.Unakuta mtu anataka amiliki cmu lakn hana uwezo wa kuhudumia cmu nikilenga vocha.(Pls call me nyingi,recharge me n.k.)bad inafu unakuta ukimrecharge ni kupiga tuu salam,hakuna mawasiliano ya biashara wala yenye tja ya kesho atapata wapi vocha.Vle vle cmu kama cmu kwa wabongo imekua kama fasheni na ulimbukeni vle sana kwa hawa watoto wetu,wanaf.watu wa kijijini n.k.Ni tatzo mkuu.Chukulia hii,mtu anadiriki avae suruali ------ nje lakn aweke vocha hata elfu 2 akupigie kukujulia hali,nyumbani wale dagaa lakn aweke vocha,Kwa wanaf.anadiriki ata apunguze Ada aweke vocha ya kutogozana tuuu.WaTZ wengi hatuelewi matumizi mazur ya cmu bcoz zko very cheaply.Unakumbuka kipindi cmu zinaingia semen ya kidole na zle nyingne kama rediocall zlikuwa vry expensve,line peke yake ilikuwa bk ten.Na aliyekuwa ananunua alikuwa Mzima kweli.Zzmwe mkuu watu tuelewe matumizi.Mbona Nchi zlzoendelea haya Ma Handset hawayatumii.Ni vry rarely.Land line kama kawaida.Maisha yanaenda.TUMEKUWA LIMBUKENI WA SMU FAKE.TCRA ZIMA ZIMA ZIMA KABISAAAAAAA
 
Tatizo sio simu za kichina, tatizo ni ubora wa simu zenyewe, hiyo ni kazi ya TBS, inashangaza simu ya bei rahisi ina line 4, radio,kamera, TV, capacity ya 16GB n.k, unafikiri kuna nini humo kama si madhara siku zijazo
 
Hata zikizimwa Tanzania hatuna hasara kabisa, kwanza kabisa nataka wazizime leo kwani nani aliwaambia wanunue simu feki, tena tanzania kwa ujumla hakuna haja ya kuwatangazia kuzima kwa kuwa anakuna anayewaambia wanunue simu na vitu feki. Rahisi gharama. Wewe unanua simu imeandikwa sumusungu, nokilia, sono eliksong unanunua tu kama sio ujinga ni ujima.

tena muuzaji anakuambia hii original na hii ya kawaida,mnunuzi anakwambia nipe ya kawaida kesho ikisumbua analalamikia serikari bora wazime bila taarifa.
 
Hata zikizimwa Tanzania hatuna hasara kabisa, kwanza kabisa nataka wazizime leo kwani nani aliwaambia wanunue simu feki, tena tanzania kwa ujumla hakuna haja ya kuwatangazia kuzima kwa kuwa anakuna anayewaambia wanunue simu na vitu feki. Rahisi gharama. Wewe unanua simu imeandikwa sumusungu, nokilia, sono eliksong unanunua tu kama sio ujinga ni ujima.

tena muuzaji anakuambia hii original na hii ya kawaida,mnunuzi anakwambia nipe ya kawaida kesho ikisumbua analalamikia serikari bora wazime bila taarifa.
 
paka jizi wewe hata hujui unachokementi, juu umeuliza kama htc za kichina, nimekuelewesha ki-staarabu, lakini unaonekana huelew labda nikueleweshe kwa makonzi ndio utaelewa kuwa htc sio za kichina we kifudu !!

Acha ubishi wa kibubusa bundi wewe!!Sasa HTC ni ya wapi?Taiwan siyo China? Kuna nchi inaitwa Taiwan? Hebu acha ubishi wa kiha nguchiro weye!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom