Elisha Ray
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 323
- 94
Habari zenu wakuu? Kuna taarifa nimepata kuwa simu zile (za bei rahisi) toka China zimeanza kuzimwa (kupoteza network) hivi ni kweli taarifa hizi? Maana kuna baadhi ya watu walio na hizo simu leo hii hazifanyi kazi. Najua serikali ilisema haina mpango wa 'kuzizima' kama Kenya walivyofanya au ndo inafanya kimya kimya? Wenye info watujuze maana hii itakuwa 'crisis.'