Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Tumeona mengi kuanzia kwenye nishati, madini, maji na kilimo. Na wiki hii tumeshuhudia makubwa zaidi katika afya na elimu ambapo kumomonyoka kwa sekta hizo kunadhihirishwa zaidi. Je ni hak kusema kuwa sera za chama tawala kwa kweli zimeshindwa?