Mimi nadhani mnazungushana sana ktk swala hili mkisahau kwamba sisi wananchi ndio tunaochagua vyama kutokana na Malengo tulokusudia. Chama kinatupa sera zake tu kutuonyesha ni wao watakao weza kutufikisha pale. Kwa maana hiuyo chama kinatuwekea sera zake ambazo ziwe za kweli ama uongo lakini kipimo cvha mafanikio hakitolewi na chama bali sisi wananchi na taasisi zinazoweka vipimo vya mafanikio kulingana na mahitaji yake.
Hizi fikra za kuwasilikiza CCM wakitwambia wamefanikiwa wapi halafu sisi ndio tunayachukua mafanikio hayo pasipo kuwa na kiwango chetu ndio maana meli yetu inazidi kuzama kama Mwanakijiji anavyosema. Kwa hiyo ni sisi ambao tunatakiwa kujiuza kama sera za CCM zimeweza maana CCM ni supplier na wenye demand ya maendeleo ni sisi wananchi.
Kutegemea CCM itupe hesabu za upande wa demand kama ndio majibu sidhani kama ndivyo inavyotakiwa. CCM watatueleza tu uwezo walioweza ku supply na sisi wenye mahitaji ndio tunajua wametosheleza au laa..They can only answer from their point of view as supplier kama tulivyoahidiwa Umeme na mikakati ya dharura. je, wametosheleza? mfano, ukiwauliza CCM watasema tumeongeza nguvu za umeme kwa asilmia 100% wakati demand yetu ktk umeme ulikuwa kwa asilimia 300.
Hizi fikra za kuwasilikiza CCM wakitwambia wamefanikiwa wapi halafu sisi ndio tunayachukua mafanikio hayo pasipo kuwa na kiwango chetu ndio maana meli yetu inazidi kuzama kama Mwanakijiji anavyosema. Kwa hiyo ni sisi ambao tunatakiwa kujiuza kama sera za CCM zimeweza maana CCM ni supplier na wenye demand ya maendeleo ni sisi wananchi.
Kutegemea CCM itupe hesabu za upande wa demand kama ndio majibu sidhani kama ndivyo inavyotakiwa. CCM watatueleza tu uwezo walioweza ku supply na sisi wenye mahitaji ndio tunajua wametosheleza au laa..They can only answer from their point of view as supplier kama tulivyoahidiwa Umeme na mikakati ya dharura. je, wametosheleza? mfano, ukiwauliza CCM watasema tumeongeza nguvu za umeme kwa asilmia 100% wakati demand yetu ktk umeme ulikuwa kwa asilimia 300.