Nimehitimu shule ya kata, ambayo haikuwa na walimu na vitabu no madawati hiyo nilichoandika ni kwa uelewa dogo nilionao. Naamini kama shule yangu ingepewa uwekezaji mzuri ktk walimu, vitabu n.k badala ya kujitajirisha nyie wachache Kwa jasho wetu sote leo ningeandika point na si kukoroga.Na wewe huna point, umekoroga maneno tu. Kajipange upya. Hii ni rubbish.