Ni kweli nyumba ndogo wanatusanifu?

Ni kweli nyumba ndogo huwa wanatusanifu, vile vile hata sisi wanaume tunapenda kusanifiwa, utakuta mke wako ana simu mbovu hata batani hazionekani halafu imefungwa na mpira (rubber bend) lakini nyumba ndungo ina simu ya shs laki mpya safi na ina vocha za kutosha, mke wako hata hajui kitenge cha wax kinafananaje ila nyumba ndogo kila aina ya wax ikitoka ananunuliwa, nyumba ndogo ina samani(furniture) za thamani kuliko kwako, yaani huwa tunachekwa kindani ndani. Ukiwa na matatizo unashare na mke wako ukipata hela mbio kwa nyumba ndogo.

Maelezo yako yamenifurahisha sana, ni ukweli mtupu mambo yote tunayaona live bila chenga
 
Bora umeanza kuzinduka, hapo inapendwa hela yenu tu, hebu jaribu kutokumkatia keshi huyo small wako halafu uone kama hujamfumania within a month.
 
i trust and love u kimshazari kabisaa! una akili kama mchwa wa pangani!
wape wapee vidonge vyao,wakimeza wakitema shauri yao (sijaskia mtu akiitikia chorus,ama hii ndo chorus yenyewe?)
Nyumba ndogo ni wasanifu! Tupo kibiashara zaidi, tunaitaji maangalizo tofauti coz siyo mkeo, na ndiyo mana ukatupa jina la nyumba ndogo. Kwa hiyo tupo kwa mkataba tu, kinachomfanya awe na wewe ni maslahi, sasa kama maslahi hayapo ndiyo utaona wanakusaanifu coz tunatambaa kuangalia ustaarabu kwengine!, kwani mwajiri wako akifilisika wewe unamsaanifu unapobwaga manyanga? hapana, wewe unaomba kazi sehemu nyingine coz upo pale kwa maslahi bana! Je ungekua na hisa kwenye kampuni ungeondoka kama inafilisika? hapana, ungejitaidi kuinusuru kwa kila hali hadi tone la mwisho kama Gadaffi alivyofanya kwa nchi yake! Hivyo ndivyo kwa nyumba ndogo, yeye hana hisa na wewe, mwenye hisa nawe ni mkeo. NYIE NDIYO MNAJIHISI MNASANIFIWA WENZAKO WALA TUPO KAZINI BUBULAKE. wanaume muwe na akili za mbayumbayu msije mkajigonga kwenye jiwe ukijifanya unakomaza mdomo
 
heheheeee, hii mupya kwa hiyo unamaanisha waanze kuzini na wanaume wenzao? Wonder shall never end

Hapana Bombu, hii imeandikwa kwenye Biblia..sio mpya ilikuwapo hata kabla haujazaliwa na itakuwepo pia
 
Wandugu kweli hizi nyumba ndogo huwa zinatusanifu tu nasisi kunawakati huwa tunahisi kabisa kama zinasanifu lakini sijui huwa tunakuwa na akili zakushikiwa, mfano hai nilpotoka kidogo nasema kidogo kwakuwa sio tabia yangu kuchepuka ikatokea nikawa na kimalaya kimoja kwamuda mfupi lakini kila nikichunguza mienendo yake naona kama kinanitapeli kibaya zaidi kiliweza jua namba ya my wife na ikatokea bahati mbaya kumbe mama wakishangu hicho kinakaa jirani na kwangu nilpogundua nikakipiga chini sikaanza kumtusi my wife na kumtambia mumeo nimemshika na ntahakikisha anakuacha. kakuchoka anasema wewe mchafu unanuka huna hazi ya kuwa nae kaamua kunifata mimi, mzuri najua kuvaa. yani mambo juu ya mambo ukimcheki mkewangu alivyo bomba halafu nachenyewe mpaka unaona aibu kuzalilisha mkewako kwakishenzi kama kile sijui hakijioni nakujifananisha yani nakwambieni hauna mana kabisa huu mchezo acheni kabisa sasa hiki kilivyo ona kimebwagwa kikaona kiharibu sijui niachane na my wife lakini mungu kasidia mkewangu kasamehe nachukia sana hii tabia wanume tuwe makini jamani mkweko ndie uwalako na ndie anaesthili kilakitu hakuna tofauti ya ladha nikuwa wawazi tu kunako mapambano utaridhiana
 
mtoa mada, ukitaka kujua kama nyumba ndogo inakusanifu ama vipi:
1 filisika/fulia
2. poteza kazi
3.ugua muda mrefu
ukumbuke mrudisho nyuma baba :washing:

umeeleza mambo ya msingi kabisa ya kujitathmini ktk hizi nyumba ndogo,
changamoto inayokuja ni kwamba hata hawa wenye wake zao wanaweza kimbiwa na wake zao wa ndoa endapo kama mme au mke atajikuta ktk moja au zaidi ya hayo majanga oloyainisha hapo juu,
pia hata pia kuna baadhi ya nyumba ndogo zinaweza simama na wewe ktk hayo majanga,
mi nadhani anayemtegemea mwanadamu amepotea zaidi wa kumtumaini ni Mola pekee.
 
Back
Top Bottom