Hivi Mbowe, Dr Slaa, Prof: Safari......hawakuwahi kuwa makada wa CCM je huwaamini?Wadau, kwa habari zisizo rasmi, inasemekana Mh lowasa ndio anachochea viongozi na makada mbalimbali jijini arusha kuhamia cdm. Hili naona linaweza kutucost hapo baadae. kwani makada wa ccm siwaamini kabisa.
Nawasilisha.
Wadau, kwa habari zisizo rasmi, inasemekana Mh lowasa ndio anachochea viongozi na makada mbalimbali jijini arusha kuhamia cdm. Hili naona linaweza kutucost hapo baadae. kwani makada wa ccm siwaamini kabisa.
Nawasilisha.
Hivi Mbowe, Dr Slaa, Prof: Safari......hawakuwahi kuwa makada wa CCM je huwaamini?
Wadau, kwa habari zisizo rasmi, inasemekana Mh lowasa ndio anachochea viongozi na makada mbalimbali jijini arusha kuhamia cdm. Hili naona linaweza kutucost hapo baadae. kwani makada wa ccm siwaamini kabisa.
Nawasilisha.
. Acha siasa za ubeya, siyo kila kinachofanyika ni lowassa, hiyo power Hana kwasasa, hata dr slaa alitokea Ccm na kwasasa anaaminiwa ma wafuasi Wa Chadema nchini kote. Ccm haifiki 2015, kwasasa Cdm ijipange kutengeneza serikali yake.Wadau, kwa habari zisizo rasmi, inasemekana Mh lowasa ndio anachochea viongozi na makada mbalimbali jijini arusha kuhamia cdm. Hili naona linaweza kutucost hapo baadae. kwani makada wa ccm siwaamini kabisa.
Nawasilisha.