BRUCE LEE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 2,096
- 1,332
Ndugu wana jamvi nimekua na mjadala na baadhi ya wa2 kuhusu viongozi wadhambi wa africa, tulipofikia habari za bokasa,wanasema alianza kama rais then akaamua kujibadilisha na kua mfalme na baadae akataka kujibadilisha na kuwa emperor wa jamhuri hiyo ndio akaandika barua kuwaalika wageni kuja sherehe ya kuapishwa kua emperor ali wachukua wafungwa weye afya na kusema wapewe chakula ili wawe na afya nzuri kwani watakaguliwa na wageni, kumbe lengo lake lilikua wanenepe then wakachinjwa na kua kitoeo cha wageni waalikwa na kila balozi na rais aliehudhuria alikula nyama za wafungwa hao. Pia alikua na kiwanda cha kutengeneza sare za wanafunzi na ilikua nilazima kila mwanafunzi avae sare hizo na kila mtoto aliekamatwa hana sare alipelekwa kwenye zizi la bokasa ambalo alikua anafuga mamba na kuwatupa humo na kuliwa. Wajameni nimeshangazwa na habari na maelezo zaidi yanapatikana kwenye kitabu the world most evil men. Hivi kweli tutafika wa afrika? Historia inatusuta.