PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
Ngassa amesajiriwa Simba kutoka Azam na wala si Yanga; kisasi kitatoka wapi hapo??? jaribu kuwa na fikra pevu mkuu.Haya mna akili nyie mliosajili ngassa kama kisasi kwa yanga kumtwaa yo-nje.
Ngassa amesajiriwa Simba kutoka Azam na wala si Yanga; kisasi kitatoka wapi hapo??? jaribu kuwa na fikra pevu mkuu.Haya mna akili nyie mliosajili ngassa kama kisasi kwa yanga kumtwaa yo-nje.
Haya wewe mwenye fikra pevu,ask yourself kwanini arsenal fc wanakereka mno kwa adebayor kujiunga na spurs akitokea Man city?Ngassa amesajiriwa Simba kutoka Azam na wala si Yanga; kisasi kitatoka wapi hapo??? jaribu kuwa na fikra pevu mkuu.
Dah!inauma kweli.
hata ka ni mperatwite c hatuelewi,tutapiga ka kawaida yetu mbele na nyuma,okwiiiiiiiiiiiiiiiiiii,5 oclock