Ni kweli mapenzi humnufaisha mwanaume tuu.

kuna hadithi moja zamani ilitokea mtaa mmoja


watoto wa miaka kama kumi na mbili wa kike na wa kiume walikuwa wakichezeana na kufanya mapenzi ktk umri huo.

basi wale wazee wa mtoto wa kike wakawa wanazungumza kuwa mtoto wao anaharibiwa na mtoto wa jirani na wakawa wanajipanga kwenda polisi.

upande wa pili baada ya kusikia hatua ambazo wazee wenzao wanataka kuchukua, mbio walikimbilia polisi na kufungua shtaka la kuwa mtoto wa jirani anawaharibia mtoto wao, wale walishangaa inakuwaje mtoto wa kike amuharibu mtoto wa kiume?

sasa wakati wanaongea polisi mara wazee wa mtoto wa kike na wao wameingia kufungua shtaka, wakaambiwa mbona wenzenu weshakufungulieni, na wanalalama mtoto wao haendi shule, hakai nyumbani, hatumiki kila wakati yuko na mtoto wenu, amemuharibu hataki kusikia wala kufata maelekezo ya wazee wake.

wazee wa mtoto wa kike walichoka.

Watoto wakiume hua hawaharibiwi bali hua wanazuzuka na nikwa muda tu badae wakizoea wana waharibia wa kike maisha yao.
 
Nimemuona mahala ila sikumbuki wapi dah kumbe mbona hujanambia wewe hujui mie ndo mwenyewe shauri yako nitakuwa sikusindikizi mie

Hapana shemeji usifanye hivyo bana, mi ndugu yako ujue.

Nilikuwa sijakwambia network ilikuwa bado ina search, sasa ghafla nikajikuta nimekuwa connected na loveness love.

Sogea sasa nikunong'oneze; lovenes anasema anaogopa mkurya, na mimi bado najitahidi kumhakikishia kwamba wakurya tuko poa, nadhani kwa hili utanifaa sana. Ila usimwambie mtu, siri yako. We nisindikize tu huenda akikuona atasema neno litakaloleta furaha maishani mwangu.
 
Katika mapenzi tunachezeana, tunatumiana na tunaharibiana.
Lawama huangukia upande mmoja kwa sababu mwanamke ndio huathirika zaidi kama mambo hayotoenda sawa.
 
shemeji salama lakini?

Sasa kama ndivyo, inakuwaje siku hizi visichana under 17 vinawakimbilia 45+?

Si kuonyesha kwamba za 45+ ndo zinachemka kuliko under 17 wenzao? Experience matters shemeji!!


ndugu yangu umenistua kweli,,,, hao 17 kwa 45+ wanafata mkwanja kwa sababu 17 mwenzake mpaka aombe nyumbani ameki ndo anje kumpa wakati 45+ afungua waleti yake anatoa.......

mwanaume ndo anaharibika anapofanya mapenzi kwa sababu unapunguza ile kitu ambayo inabidi mwili itumie tena protein na nutrients zingine kuitengeneza ndo maana kama umeshafanya uchunguzi ukiwa unafanya mapenzi mara kwa mara ujazo wa kile ukitoacho kinapungua, ila ukikaa muda mrefu hujafanya, siku uki do ujazo unakuwa mkubwa... Ndo maana

hao 45+ wakienda kamoja hoi na mkwanja kibao anamwaga ndo maana 17 wanawapenda..


mwanamke anaharibika pale anapojifungua mara kwa mara lakini pale kwenye tendo la ndoa ye hapotezi chochote.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom