hivi ni kweli mtu wa kwanza kufungua(kubikiri) ni vigumu kuendelea nae kwenye relation mpaka mkafunga ndoa??????
Mwananke anaweza kuendelea mpaka kwenye ndoa.
Mwanaume inaweza kuwa ngumu.
Akishazoea kubikiri atataka kubikiri wanawake wengi.
hivi ni kweli mtu wa kwanza kufungua(kubikiri) ni vigumu kuendelea nae kwenye relation mpaka mkafunga ndoa??????
Ni kweli wanabaki kuwa mahawala kila wakikutana wanakumbushia
hahaha.... Ndyoko umeniweza!!! lol.... Haya basi....
Sio kwamba ni vigumu sababu anakua hafai tena.... Hapana! Ni simply because mara nyingi majority wanapoteza hali ya u-bikira between the ages of 15 - 19 years... Umri ambao watu wanakua bado ni young kufikiria suala zima la kufunga ndoa.Imagine wee ni kijana wa miaka 19 unaanza na binti wa miaka kama 16/17/18 hivi kweli unategemea kuoana kupo?? Kumbuka maisha yamebadilika kuna kuhama makazi, kuenda shule za mbali mbali, kukutana na more interesting pple na the like... BUT hata hivo kuna exceptions za watu ambao walianza na wakaona pia...
yalikukuta nn? Bt i like ur comment
hahaha.... No! Mie niliolewa na nilieanza nae... Uzuri wa kuolewa young.....
Mwanzo wa ubakaji huuu
da hata mm napenda nmpate wa hvyo...........lkn sa hv anapatikana kweli?Katika niliowahi kulala nao bikira alikua mke wangu tu!, nae nililala nae tukiwa tumefunga ndoa (nilidhamilia...), namwamini sana kuliko ninavyojiamini
Yes, i do agree with you. Hatuna culture ya kuwa na kuwa na relationship ndefu kum-prove mwenzio. Wengi wetu mkiridhiana na mnaona wakati ni muafaka, basi mipango inaanza. Of course 18 old kuendelea mpaka ample time for marriage, kwa jamii zetu ni ngumu sana. Sababu ni kama hizo na kadhalika. Kwa hiyo hii issue watu wana generalize sana, lakini especially ni kwa jamii zetu tu. Halafu sijuwi kwa nini issue ya virginity iko very genda. Hata wanaume huwa virgins before. Mwanamume au kijana akivuka foolish age with his virginity na akapata mwanamke. Hupagawa na kuwa totally blind and deaf (limbwata).hahaha.... Ndyoko umeniweza!!! lol.... Haya basi....
Sio kwamba ni vigumu sababu anakua hafai tena.... Hapana! Ni simply because mara nyingi majority wanapoteza hali ya u-bikira between the ages of 15 - 19 years... Umri ambao watu wanakua bado ni young kufikiria suala zima la kufunga ndoa.Imagine wee ni kijana wa miaka 19 unaanza na binti wa miaka kama 16/17/18 hivi kweli unategemea kuoana kupo?? Kumbuka maisha yamebadilika kuna kuhama makazi, kuenda shule za mbali mbali, kukutana na more interesting pple na the like... BUT hata hivo kuna exceptions za watu ambao walianza na wakaona pia...
Hii nayo kali. Wazee mambo haya ya kubikiri hivi yana raha gani, maana wengine mapenzi tumeanzia ukubwani sasa mnavyoongelea bikira mnatufanya tuanze kutamani dogodogo ambazo bado ziko natural/virgin za primary. Mbona mnatujengea mazingira ya kwenda jela waziwazi wajemeni, acheni kuongelea hayo mambo