Nimekuwa nisikia watu wengi wakidai kuwa vijana wa Libya huwa wanalipiwa maali, wana pewa nyumba n.k wanapo-oa. Mbali na hilo nilishasikia kwamba huduma muhimu za kijamii kama vile maji, umeme na matibabu ni bure kwa hawa wenzetu.
Kwa fikra zangu, naona mengine yanawezekana ila hili la maali na nyumba kidogo sijashawishika. Kwa hiyo naomba great thinkers mnitanabaishie jambo hili, kwani naamini kuna waungwana wanaoifahamu vizuri nchi hiyo.
Kwa fikra zangu, naona mengine yanawezekana ila hili la maali na nyumba kidogo sijashawishika. Kwa hiyo naomba great thinkers mnitanabaishie jambo hili, kwani naamini kuna waungwana wanaoifahamu vizuri nchi hiyo.