Kuna maneno katika makabila mbalimbali yanaingilina na kiswahili lakini kwa lugha ya kimakua sio mchezo hebu angalia maneno haya kaka = arokoraka Unasemaje = n'nowirachani amelala = ahorupa Hujambo = n'nougwelalia Nyumbani = uani woo Mazishi = Mariro Mwanaume = nlopwana Mwanamke = nthiana .................................... endelea