Punguzeni manenoHa ha ha eti Idris sio Dr mwaka tena ni DR MANYAUNYAU
ahaha haloooo kiko wapi team ushuzi, uwiii sitaki mie warumiHili jambo mimi nasema tulipe muda,wale wanajua wanachokifanya.
Au lah....time will tell.
Haaahaa nimecheka uwiiiiiiiii, watakuwa wageni wa nani how? Jamani wabongo mmenichosha na vituko vyenuHa ha ha nacheka team wema wanavohaha huko bize kumuuliza wema awaambie ukweli et "tutakua wageni wa nani sisi" ha ha ha wabongo uwiiiiii
Hahahaa nimekumbuka maneno niliyosema week mbili zilizopita,wema nimemnyooshea mikono juu
Yani nlicheka wabongo sio ni vituko kwakweliHaaahaa nimecheka uwiiiiiiiii, watakuwa wageni wa nani how? Jamani wabongo mmenichosha na vituko vyenu
Tembelea na page ya mrekebishatabia uone naye alivyotapika mijinenoHa ha ha eti Idris sio Dr mwaka tena ni DR MANYAUNYAU
Haswaaaaa wanataka watu waende kwa wingi kuhakiki kama kweli madam kitu kimetoka japo sijawahi ona mimba chini ya miezi mitano au sita ikawa kubwa chini badala ya juu ya kitovu.Watakuwa wanatafuta kick kwa ajili ya tamasha la Valentine aliloliandaa Wema.
Hapa wanavuta attention ya mashabiki tu, na ninadhani hao wanaosambaza hizo taarifa wamelipwa.
salute kwako mkuuMie anaeniblock anajisumbua nna id kumi akiblock ntamfollow tena lol
Ila kaongea ukweliTembelea na page ya mrekebishatabia uone naye alivyotapika mijineno
Kuna kipindi hata Zari nae alipokua akija bongo tumbo flaaat ila akiwa sauzi mtumbo huo sijui na huyu amekumbwa na ugonjwa huo?Hii mimba ya huyo binti imezua mambo kwa kweli.
Mara ipo....mara inapotea...hujakaa sawa imerudi tena....umejisahau kidogo unasikia imetoweka tena!
Ni mimba ya kipekee sana hiyo.