Hili jambo mimi nasema tulipe muda,wale wanajua wanachokifanya.
Kiazi nae huyu.. Mwanaume piga kimyachapa lapaSijaelewa elewa
Ha ha ha nacheka team wema wanavohaha huko bize kumuuliza wema awaambie ukweli et "tutakua wageni wa nani sisi" ha ha ha wabongo uwiiiiiiHili jambo mimi nasema tulipe muda,wale wanajua wanachokifanya.
Au lah....time will tell.
Jealous!!!!!!Wema apatiwe Kibarua TRA kufanya assesment ya Kodi as anawajua sana wenye Vipato.
Kamaliza kula fedha za Big brother za Kamera man wa Ki Arusha aliepagawa kwa kumuona Wema akadhan watoto wa Dar Wajinga walioamua kumpisha.Arudi zake Arusha Mbunye inarudishwa Mezani wenye ku bet na wabet upya!
Dar es salaam ina wenyewe wakuja aakilazimisha sana wanakodishiwa Umaarufu kwa Muda!
haieleweki kama motion ya mleviHii mimba ya huyo binti imezua mambo kwa kweli.
Mara ipo....mara inapotea...hujakaa sawa imerudi tena....umejisahau kidogo unasikia imetoweka tena!
Ni mimba ya kipekee sana hiyo.
Ha ha ha ha ha ha ha who is next!!! Ngoja tuone movie kama sio zamu ya kingwendu kuwa na wema sijui tuWema apatiwe Kibarua TRA kufanya assesment ya Kodi as anawajua sana wenye Vipato.
Kamaliza kula fedha za Big brother za Kamera man wa Ki Arusha aliepagawa kwa kumuona Wema akadhan watoto wa Dar Wajinga walioamua kumpisha.Arudi zake Arusha Mbunye inarudishwa Mezani wenye ku bet na wabet upya!
Dar es salaam ina wenyewe wakuja aakilazimisha sana wanakodishiwa Umaarufu kwa Muda!
Ha ha ha ha ha ha ha who is next!!! Ngoja tuone movie kama sio zamu ya kingwendu kuwa na wema sijui tu
Mbunye inarudi mezan INA betiwa upya kama uchaguzi was zenjiJealous!!!!!!
Kingwendu ana mpunga nw, nasikia alipewa milioni kadhaa auze ushindi kwa ccm so sahivi yupo nje anatumia pesaKingwendu hana kitu labda Samatta kama sio kuwa mbali na Bongo angeshaanza kuingia line
Ha ha ha ha ha kwahiyo jecha kafuta mimbaMbunye inarudi mezan INA betiwa upya kama uchaguzi was zenji
Season 2 tayari??
Eti kaachana na Dr manyaunyauSeason 2 tayari??
Mapema mnooo...
Soudy brown kasema valentine kila mtu atakua kivyake lolNa tamasha la Valentine hatuji kwa mtindo huu ng'ooo
Hawa wanacheza na akili za watu.Eti kaachana na Dr manyaunyau
Team wema wanahangaika huko insta kama wanataka kutagaHawa wanacheza na akili za watu.