Walitoa taarifa kuwa litatoka kesho ili liweze kujumuisha habari zinazohusu bajeti ya Serikali itakayosomwa bungeni leo
Nimeuuliza muuza magazeti kaniambia gazeti la Raia Mwema halikuchapishwa na halitatoka leo. Kweli? Mwenye habari za ndani atupakulie!
Nimeuuliza muuza magazeti kaniambia gazeti la Raia Mwema halikuchapishwa na halitatoka leo. Kweli? Mwenye habari za ndani atupakulie!
Walitoa taarifa kuwa litatoka kesho ili liweze kujumuisha habari zinazohusu bajeti ya Serikali itakayosomwa bungeni leo
Asante :closed_2:
Litatoka kesho!Bado. Mi sijaliona.
Leseni yao ya biashara inawaruhusu kutoa mara mbili kwa wiki??Kwani hawawezi kutoa leo na kesho wakatoa toleo maalumu