Ni kweli Diamond anashuka?

Sitaki kuzungumzia kuhusu kushuka kwake maana hilo lipo wazi na wala halihitaji mtu mwenye digrii ya muziki ili kung'amua jambo hilo. Ukweli ulio wa haki muziki wa huyu jamaa ni mwepesi sana ukilinganisha wasanii wengine wa kariba yake japo si wote. Kama wewe ni miongoni mwa wanaofikiria kuwa siku moja Diamond atakuja kuwika anga za kimataifa basi utakuwa hujui dunia inahitaji muziki upi. Wapo watakaosema mbona Ngololo imeshika namba moja Trace Tv ila nikuambia hiyo imetokana na uwepo wa Davido katika wimbo huo. Ladha za nyimbo nyingi za Diamond ni bazoka, utamu unaisha fasta, na dunia haitaki aina hiyo ya muziki. Sikilizi le wimbo wa Nikupe ulioimbwa na akina Mandojo kisha fananisha na Ngololo labda ndo utadhibitisha kuwa mashairi ya Diamond ni mepesi. Diamond huu ni mwanzo wa mwisho wa zama zako!!!!!

Mkuu tuletee mrejesho.. Unaonaje kijana kashapote? au mganga wako alifariki?
 
Nimevuka mipaka binamu eeh? Tatizo muongo muongo sana, anajifanya ana hela kumbe wapi, nasikia na ile Prado ya chief kiumbe mwenyewe kachukua ipo yard kachube inapigwa bei, hana nyumba yeyote isipokuwa ile ya tegeta anayojenga miaka nenda rudi, halaf ndo anasema kwenye account ana zaidi ya billion kweli binamu? Au namsingizia? Uwe na billion kwenye account halaf uish nyumba ya kupanga, ebu changanya akili za kuambiwa na za kwako utapata jibu, japokuwa inasemekana yeye analipwa pesa nyingi kuliko wenzie ila bado hana pesa za kihivyo, alitak kununua hyo Prado kwa kiumbe hela ikamshinda mwenyewe kachukua chake
Mpwa nadhani leo unaweza kusema mtu mwenye nyumba yake tena kubwa hawezi kuweka studio kwenye nyumba ya kupanga!!!
 
Jamani wadau nataka kufahamu hivi ni kweli dogo diamond anashuka umaarufu na kimziki i heard some people say so na wamenikera coz namkubali sna dgo na namuombea sana asonge mbele.ila hawa wadau wananikwaza je ni kweli dgo ana drop?
Shuka ya size gan
 
Nimevuka mipaka binamu eeh? Tatizo muongo muongo sana, anajifanya ana hela kumbe wapi, nasikia na ile Prado ya chief kiumbe mwenyewe kachukua ipo yard kachube inapigwa bei, hana nyumba yeyote isipokuwa ile ya tegeta anayojenga miaka nenda rudi, halaf ndo anasema kwenye account ana zaidi ya billion kweli binamu? Au namsingizia? Uwe na billion kwenye account halaf uish nyumba ya kupanga, ebu changanya akili za kuambiwa na za kwako utapata jibu, japokuwa inasemekana yeye analipwa pesa nyingi kuliko wenzie ila bado hana pesa za kihivyo, alitak kununua hyo Prado kwa kiumbe hela ikamshinda mwenyewe kachukua chake
Warumi upo!mkuu wa ubuyu tanzania nzima..
 
Watabir bwana,chuki zao za moyoni wanajifanya watabiri.Mungu si mwanadamu
 
Kaacha kutoa nyimbo nzuri anafanya video Kali. Kashuka upande mmoja Wa audio kapanda upande Wa pili wa video. Mimi binafsi ndivyo navyoona.
 
Jamani wadau nataka kufahamu hivi ni kweli dogo diamond anashuka umaarufu na kimziki i heard some people say so na wamenikera coz namkubali sna dgo na namuombea sana asonge mbele.ila hawa wadau wananikwaza je ni kweli dgo ana drop?
ya ana shuka za kujifunikia nyumbani kwake na pia huwa anashuka kwenye gari, kwenye ngazi nk
 
Sitaki kuzungumzia kuhusu kushuka kwake maana hilo lipo wazi na wala halihitaji mtu mwenye digrii ya muziki ili kung'amua jambo hilo. Ukweli ulio wa haki muziki wa huyu jamaa ni mwepesi sana ukilinganisha wasanii wengine wa kariba yake japo si wote. Kama wewe ni miongoni mwa wanaofikiria kuwa siku moja Diamond atakuja kuwika anga za kimataifa basi utakuwa hujui dunia inahitaji muziki upi. Wapo watakaosema mbona Ngololo imeshika namba moja Trace Tv ila nikuambia hiyo imetokana na uwepo wa Davido katika wimbo huo. Ladha za nyimbo nyingi za Diamond ni bazoka, utamu unaisha fasta, na dunia haitaki aina hiyo ya muziki. Sikilizi le wimbo wa Nikupe ulioimbwa na akina Mandojo kisha fananisha na Ngololo labda ndo utadhibitisha kuwa mashairi ya Diamond ni mepesi. Diamond huu ni mwanzo wa mwisho wa zama zako!!!!!
Eiiiishh..!!
 
Anashuka vp kwa mfano? Mikataba yote minono inamfuata yeye tu. Atakapotokea wa kumchallenge ndio atashuka lkn sio kwa sasa.
 
Back
Top Bottom