Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,651
- 68,596
Binamu siku izi unaniudh, yaan umbea hadi nikuite, zaman haukuwa ivi unajua..
Uwiii aisee mbavu zangu miee
Binamu siku izi unaniudh, yaan umbea hadi nikuite, zaman haukuwa ivi unajua..
ila mziki wake mzuri
kajitetea bhna, siku majuku yamemzid
nini kina kupa sifa ya kumwita diamond 'dogo'?
Hilo ndilo la muhimu la ya kushuka na kupanda yako kwa wanadamu wote
Sent from my iPhone using JamiiForums
number one remix inashika #1 kwenye traceTV.That proves kwamba still kijana bado yuko vizuri tena not locally.
Sitaki kuzungumzia kuhusu kushuka kwake maana hilo lipo wazi na wala halihitaji mtu mwenye digrii ya muziki ili kung'amua jambo hilo. Ukweli ulio wa haki muziki wa huyu jamaa ni mwepesi sana ukilinganisha wasanii wengine wa kariba yake japo si wote. Kama wewe ni miongoni mwa wanaofikiria kuwa siku moja Diamond atakuja kuwika anga za kimataifa basi utakuwa hujui dunia inahitaji muziki upi. Wapo watakaosema mbona Ngololo imeshika namba moja Trace Tv ila nikuambia hiyo imetokana na uwepo wa Davido katika wimbo huo. Ladha za nyimbo nyingi za Diamond ni bazoka, utamu unaisha fasta, na dunia haitaki aina hiyo ya muziki. Sikilizi le wimbo wa Nikupe ulioimbwa na akina Mandojo kisha fananisha na Ngololo labda ndo utadhibitisha kuwa mashairi ya Diamond ni mepesi. Diamond huu ni mwanzo wa mwisho wa zama zako!!!!!
Asinge collabo na Davido ingepanda? Nyimbo zake zinahitaji marketing na madoido mengi. Number one remix sasa hivi Kenya inashuka. Nyimbo ya Jaydee Yahya ilianza pole pole na sasa ndo noma
Sema haki ya Mungu. Kweli haters mnajibiwa hapa hapa dunianiSitaki kuzungumzia kuhusu kushuka kwake maana hilo lipo wazi na wala halihitaji mtu mwenye digrii ya muziki ili kung'amua jambo hilo. Ukweli ulio wa haki muziki wa huyu jamaa ni mwepesi sana ukilinganisha wasanii wengine wa kariba yake japo si wote. Kama wewe ni miongoni mwa wanaofikiria kuwa siku moja Diamond atakuja kuwika anga za kimataifa basi utakuwa hujui dunia inahitaji muziki upi. Wapo watakaosema mbona Ngololo imeshika namba moja Trace Tv ila nikuambia hiyo imetokana na uwepo wa Davido katika wimbo huo. Ladha za nyimbo nyingi za Diamond ni bazoka, utamu unaisha fasta, na dunia haitaki aina hiyo ya muziki. Sikilizi le wimbo wa Nikupe ulioimbwa na akina Mandojo kisha fananisha na Ngololo labda ndo utadhibitisha kuwa mashairi ya Diamond ni mepesi. Diamond huu ni mwanzo wa mwisho wa zama zako!!!!!