Ni Kweli Binadamu wa Kwanza alipatikana Olduvai Gorge?

Hotuba ya Slaa iliyowekwa hapa JF jana inaonyesha maswali yalikuwa yankwenda kwa Waziri mkuu kama mtendaji mkuu wa serikali.
 
Kaa miaka milioni mia hivi,

We hujiulizi kwa nini watu weusi wanakwiva wakati wa winter na kurudi kuwa weusi sana wakati wa summer? Kwa nini wazungu wana tan in the summer / hotter climes?

Over a couple million years and the effects compounds to a different color of skin.

Hamna lolote!! Inakuwaje Waarabu wanakuwa na ngozi nyeupe na Waafrika wengine wanakuwa na ngozi nyeusi wakati Waarabu wengi wanaishi jangwani kwenye jua na joto kali? Halafu sio wazungu tu wenye miili yenye manyoya. Waarabu na wahindi na wenyewe wana minyoya kibao wakati sehemu wanazoishi hazina baridi kali....
 
Unataka ku-observe continental drift kwa kukaa pwani na kuangalia kama continent lina move (dispute that too).

I already said that evolution is a very slow process.Thats why it takes millions of years and generations to see discernible changes.

Hii ya kuchukua a million years is a bunch crap. Hakuna mtu anayeishi miaka yote hiyo kushuhudia yanayotokea. Watu wanajaribu kuelezea jambo ambalo kwa kweli ni gumu kulielezea.
 
Hamna lolote!! Inakuwaje Waarabu wanakuwa na ngozi nyeupe na Waafrika wengine wanakuwa na ngozi nyeusi wakati Waarabu wengi wanaishi jangwani kwenye jua na joto kali? Halafu sio wazungu tu wenye miili yenye manyoya. Waarabu na wahindi na wenyewe wana minyoya kibao wakati sehemu wanazoishi hazina baridi kali....

The manyoya example is a poor one, waarabu wame migrate a lot.Wa Gypsies wa Europe wame migrate huko in the last 1000 years.Na hapo kwa waarabu hapakuwa na jangwa na joto siku zote, in fact the Sahara and its belt was a forest as late as 7,000 years ago.Recent ice ages, as recent as 20,000 years ago means weather patterns changed a lot.

So come again.
 
Hii ya kuchukua a million years is a bunch crap. Hakuna mtu anayeishi miaka yote hiyo kushuhudia yanayotokea. Watu wanajaribu kuelezea jambo ambalo kwa kweli ni gumu kulielezea.


That's why evolution is based more on ANTHROPOLOGICAL findings rather than biological facts!! Therefore it's not always a biologically proved concept.
 
That's why evolution is based more on ANTHROPOLOGICAL findings rather than biological facts!! Therefore it's not always a biologically proved concept.

Kwani lazima kiwe biological evidence?

an·thro·pol·o·gy

noun.

1. The scientific study of the origin, the behavior, and the physical, social, and cultural development of humans.

The American Heritage® Science Dictionary
 
How can you confirm that one spp of animal have evolved into a new spp au subspp?

Anthlopology encompasses aspects of speciation. Evolution is the hallmark of anthropology.

an·thro·pol·o·gy

noun.

1. The scientific study of the origin, the behavior, and the physical, social, and cultural development of humans.

The American Heritage® Science Dictionary
 
The manyoya example is a poor one, waarabu wame migrate a lot.Wa Gypsies wa Europe wame migrate huko in the last 1000 years.Na hapo kwa waarabu hapakuwa na jangwa na joto siku zote, in fact the Sahara and its belt was a forest as late as 7,000 years ago.Recent ice ages, as recent as 20,000 years ago means weather patterns changed a lot.

So come again.

I have family members who are very hairy....they got hair all over their bodies....chest, back....you name it. How do you explain that?
 
Kwani lazima kiwe biological evidence?

an·thro·pol·o·gy

noun.

1. The scientific study of the origin, the behavior, and the physical, social, and cultural development of humans.

The American Heritage® Science Dictionary

Mbona sikuelewi unapoweka hiyo definition ya Anthropolgy hapo!! Hakuna mahali inaongea biogical sciences, it's more of social sciences of which you can only try to justify some pre-stated principles by guessing and imagination, not by proof. In short, evolution is more of a guessing game, period!
 
I have family members who are very hairy....they got hair all over their bodies....chest, back....you name it. How do you explain that?

With a name like yours that would not surprise me, hawaja evolve vizuri labda. :)

On a serious note, the hair example is a poor one as stated before.
 
Kikukwelii, hii topic hata hao anthropologists wanatofautiana sana, bado ni very debatable mno, hadi ilibidi itolewe kwenye sylabuses za sehemu kadhaa.
hata proof that hiyo skull ya hao watu wa kale kabisa hakuna proof kama wanauhusiano na binadamu.
lakini kuna maswali mengi sana ambayo wenye kupinga evolution wameshindwa kujibu, an mengi ambayo wenye kuikubali wameshindwa kuyajibu.
anyway as we are here, lets use our time wisely,
kama juzi kuna yale mandege makubwa kama dinasour wanaoruka, walidaiwa wako extinct lakini kumbe wako tu wanaogopa watu wanaonekana mara chache huko amerika kusini.
mimi nilishaacha kufuatilia hivyo sina hata data mtanisamehe.
 
Back
Top Bottom