Benazir Buto
Member
- Sep 30, 2012
- 65
- 8
Watu wanazungumza sana kuhusu huyu mzee..kabla ya yeye kuwepo CHADEMA Njombe ilikuwaje? Mbowe amehangaika na CDM miaka 20 sasa yeye mwaka tu anaona hakuna mafao? Kweli tunapokea watu wa ajabu
Acha aende kwa watoa rushwa wenzake, ipo siku ataregret tu.
Watu wanazungumza sana kuhusu huyu mzee..kabla ya yeye kuwepo CHADEMA Njombe ilikuwaje? Mbowe amehangaika na CDM miaka 20 sasa yeye mwaka tu anaona hakuna mafao? Kweli tunapokea watu wa ajabu
Watu wanazungumza sana kuhusu huyu mzee..kabla ya yeye kuwepo CHADEMA Njombe ilikuwaje? Mbowe amehangaika na CDM miaka 20 sasa yeye mwaka tu anaona hakuna mafao? Kweli tunapokea watu wa ajabu
CDM bado ingekwenda Huko na kusimika bendera yake fasta.Kwani mikoa mingapi walikuwa hawapo na walikwenda na sasa CCM wanahemea drip huko?Watu wanazungumza sana kuhusu huyu mzee..kabla ya yeye kuwepo CHADEMA Njombe ilikuwaje? Mbowe amehangaika na CDM miaka 20 sasa yeye mwaka tu anaona hakuna mafao? Kweli tunapokea watu wa ajabu