Mkuu kumbuka mtu unapokuwa kiongozi mkuu wa nchi ..hata mtu maarufu tu kama vile mchezaji wa mpira (ronardo de lima), mwanamuziki kama michael jackson, lady jay dee..unakoma kuwa wa kifamilia ..na unakuwa wa kijamii zaidi..hivyo kuhoji ama kujadili suala kama hili sioni kama ni tatizo..kwani J.K ni Rais wa Watanzania...hivyo ni wetu sote na si wa Riziwani ama Miraji pekeeSo what? And who cares?
mkuu nilipenda kujua hilo kwa sababu nilienda bagamoyo nikaonyeshwa nyumba ya baba yake kikwete sio nzuri hata kidogo,
nataka kujua kama kweli alikuwa mkuu wa wilaya alishinidwa kujenga nyumba nzuri?
Pumba tu!nyumba ingekuwa nzuri ungesema ufisadi sasa hivi nyumba imechoka huamini kama ni baba yake Jk.
Ondoa upupu kuna mambo ya muhimu ya kujadili.