Juzi juzi nilisoma mahali- sikumbuki wapi ila ilikuwa taarifa ya jinsi watanganyika wa maeneo ya mujini Ny walivyokutana na kuomboleza kifo cha Balozi Mwakawago.
Katika taarifa hiyo, ilionekana risala yao ilisomwa na jamaa mmoja DR. Mwakalinga ! Sasa huyu jamaa kawa DR lini, au ndo yale yale ? Bila shaka somebody anaweza kutujuza, papaa Wile upo?
Katika taarifa hiyo, ilionekana risala yao ilisomwa na jamaa mmoja DR. Mwakalinga ! Sasa huyu jamaa kawa DR lini, au ndo yale yale ? Bila shaka somebody anaweza kutujuza, papaa Wile upo?