Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Jamani mbona vinaeleweka tu kama vilivyoelezwa,au una maanisha huamini?mh nasoma hata sielewi mie !
Jamani mbona vinaeleweka tu kama vilivyoelezwa,au una maanisha huamini?mh nasoma hata sielewi mie !
mambo ya nyau kuwa taiti au luzi kwa kiasi kikubwa sana ni genetics
unajua GS, sijui huyu pepo aliyeingia sasa hivi lakini hizi insecurties zinatupeleka pabaya
kuanzai macelebs, huko majuu, ndo cosmetic surgeries, huku tunahangaika na wachina wetu, mara hii imenenepesha uume, mara hii sijui inatakiwa ifanye kidude kiwe tait, mara makalio yawe makubwa etc
kwani utamu wa pipi si mate yako? dah
Jamani mbona vinaeleweka tu kama vilivyoelezwa,au una maanisha huamini?
hii ndio nini?mbunye?
Inflammable?sasa iwe taiti ili iweje? anyway i dont have no clue on this one, lets wait for experts
Halafu Asali + limau aint it flammable down there?...
ooow man..... is that bad?.... dont try this at home...Ahahahaha this made my day.... just flammable???? mmmnh think its 'corrosive' ahahahha
Inflammable?
mh nasoma hata sielewi mie !
Kwa masikio yangu niliwahi kusikia japo sijasibitisha, ilikuwa katika kipindi cha BBC jioni nipo kwenye Basi maarufu natoka Moro kuja Dar (2007).Tusaidiane kumjibu huyu..
hapa ndani siku hizi sijui kaingia shaitwan gan lol1
........Hii alum shost ni noma, kuna mdada mmoja aliwahi kutumia aliniambia ilimuweka tight haswaa kama bikira.............lakini alikoma maana kitu kiliauka hata friction haikuwepo hivyo alichubuka.nawia ALUM