Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,348
inawezekana una swagga sana so jamaa akaamua ku test swagga zina test vipi? au una zigo la kufa mtu nini maana boy akaamua ku taste. tatizo la ma BOY ni kuwa feelings zao nyingi bd zipo kwenye kichwa cha chini sasa zimerudi kichwa cha juu kajitambua anarudi kwa gf wake pole dada swaggaz!!!!