Kwa nionavyo mie!! Suala la korodani kuwa kubwa au ndogo si muhimu sana, chamsingi mtarimba unawezaaa!!!? na je!? kupizi ni kwa idadi na kiasi cha manii ni cha kutosha!!? kama hayo yooote yako sawa basi twende kazi!
Hazina ukubwa tofauti,ila ziko position tofauti moja imeshuka chini.hii ni position nzuri kuzizuia zisisagane au kusagwa na mapaja wakati ukitembea
HAZOLE gfsonwin
It's normal, and it's a good design, actually. It allows one to roll over the other easily and painlessly in those instances...
Thanks for details sasa nataka kujua ikiwa ziko suspended kwa minajil ya kuzipoza wakati wa joto, ina maana logically wanaume ndio tulipaswa kuvaa magauni??