Ni kwanini kila wasifu wa Marehemu hauna mabaya?

That's what's up!....wanataka mtu aandike kama vile anaandika thesis!....wangekuwa wanatoa pesa kwenye issue kama hizo...ningekuwa perfecto!.....you know!.....

brazilian inabidi uludi kwenye topic kule!....hapa wata-kumind...

Kwi kwi kwiiiii...very soon. Lakini hiyo kitu umekutana nayo Kelly? How was it?
 
Kaniki hapa unahalibu shauli yako miye simo...inabidi tuu uludi kwenye ile topic ya brazilian...mwenzio naogopa kunyoshewa kidole cha macho!...

No, I meam WASIFU kama aliotoa sample Superman hapo juu....in the real sense. Possible?
 
Mwanaf Kuchapia ni muhimu sana...na wala sioni big deal kwenye kuchapia na pili mtu akichapia siyo kwamba ndiyo hajui anachoongea.....usitake kusema kwenye maisha yako yote hujawahi kuchapia...hakuna mtu asiyechapia duniani humu...tena mimi ndiyo number one mchapiaji....and i am proud of it...na wala siyo klazima nikuthibithishe kuwa nimechapia....aas long as umeelewa maana yeke...so whats the big deal?.......

kwa nini hukuwa mwalimu?....

You never know maybe mimi mwalimu. Hakuna kosa la kuchapia dada sorry if you felt that way. So bado you stand by ukisemacho? kuwa umeshawahi kusikia eulogy inayomsema marehemu vibaya?
 
Samahani kutoka nje mada kidogo.Ila mimi sielewi hii tabia ya baadhi ya wana JF kujifanya katika kila sentesi ya kiswahili katikati kuingiza kingereza,alafu basi pale wanapoondika kiswahili basi kujifanya kukosea matumizi ya herufi kusema kweli inachefua sana sana.kama unaamua kuandika kingereza andika ueleweke,kama unaamua kuandika kiswahili andika kieleweke.Haijalishi uko nchi gani au iko vipi ila tabia ya kujifanya wazungu sana humu ndani inakera na kuchafua sana.Kuna jitu nikiona tu mchango wake bora niuruke nisisome maana najua ni kuchefuka 100%.Mjirekebishe,msidhani kuandika kingereza ndio mtaonekana wa maana sana kwanza kingereza chenyewe kiandikwacho kama si kukosea spelling basi uozo mtupu sentensi nzima.Mthamini Lugha yenu na ushamba wenu huo arghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!
 
Kwenye wasifu wa marehemu huwa hakuna sababu ya kusema mabaya ya marehemu, kwa sababu kwa wakati huo hata yakisemwa hayasaidia maana mwenyewe hayupo kwa hiyo kuyarekebisha hawezi,
na pia yanasemwa mazuri ili kuwafariji ndugu wa marehemu,
Lakini pia mabaya huwa yanasemwa chinichini na wambea, waombolezaji walioenda pale.
Na siyo vizuri kusema mabaya ya mtu wakati hayuko duniani.
 
Yesu alipoulizwa juu ya yule mama,alisema asiye na doa/dhambi awe wa kwanza kumtupia jiwe huyu mama,kilichotokea kinajulikana. Kwa ufupi ni kwamba watu safi wa kusoma negative side za wenzao mbele ya kadamnasi ni wachache/hawapo. Hatuna usafi huo,kwa hiyo kila mtu hataki kesi ya kujichotea.
 
Sijawahi kusikia wasifu wa Wanandoa Unasomwa wakati wa harusi? Je ni lazima wasifu usomwe tu mtu anapokufa au anapotunukiwa kitu?

Na hapo pia ungetaka wasome both positive na negative? Ndoa inaweza kuishia hapo ati;)!
 
Samahani kutoka nje mada kidogo.Ila mimi sielewi hii tabia ya baadhi ya wana JF kujifanya katika kila sentesi ya kiswahili katikati kuingiza kingereza,alafu basi pale wanapoondika kiswahili basi kujifanya kukosea matumizi ya herufi kusema kweli inachefua sana sana.kama unaamua kuandika kingereza andika ueleweke,kama unaamua kuandika kiswahili andika kieleweke.Haijalishi uko nchi gani au iko vipi ila tabia ya kujifanya wazungu sana humu ndani inakera na kuchafua sana.Kuna jitu nikiona tu mchango wake bora niuruke nisisome maana najua ni kuchefuka 100%.Mjirekebishe,msidhani kuandika kingereza ndio mtaonekana wa maana sana kwanza kingereza chenyewe kiandikwacho kama si kukosea spelling basi uozo mtupu sentensi nzima.Mthamini Lugha yenu na ushamba wenu huo arghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!

Take it easy Daina:confused:!
 
Wanajamii, naja mbele yenu kwa unyenyekevu mkuu nikiomba kufahamishwa zaidi juu ya hili suala la watu kutoa shuhuda kadha wa kadha juu ya mtu aliyefariki...

1. Kwani ni lazima kutoa ushuhuda juu ya marehemu?

2.Je, ni suala la kijamii, kidini au kisheria? na je kuna makabila hayana huu utaratibu?

3. Kwanini ushuhuda mwingi huwa 'umekaa kinafiki' yaani hata marehemu ambaye watu wengi walikuwa hawampendi (mf. Mchawi) atatolewa ushuhuda wenye mvuto Kweli ilhali kwa pembeni watu hao hao wanamsema vibaya?

Naomba kuwasilisha..
 
Wa watu wanao pajua moshi eneo pembeni na shule ya weruweru kulikuwa na jambazi alikuwa anaitwa heruman walimsoma vibaya mbele ya hadhara
 
Back
Top Bottom