Ni kwa nini Watanzania hasa vijana tunapenda kuwa vijiweni mada kuu huwa ni mpira

dosama

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
912
957
Great thinker

Watanzania hivi tumelogwa tunapenda starehe kuliko kazi hapa napopita nakutana na vijana mbaya zaidi ni karibu kila mtaa bapopita kufika nakoishi vigenge vya vijana huvikosi cha ajabu kikubwa ktk mazungimzo yao ni mpira tena vilabu vya Uingereza na Hispania wanavyopanga vikosi na kuonyesha kauli za umiliku wa timu kama vile wao ni mameneja wasaidizi wa timu hizo.

Vijiwe vya watu wazima na makamoni habari za wake za watu na kufumaniana

Tutafika kweli?

Najiuli
 
Great thinker

Watanzania hivi tumelogwa tunapenda starehe kuliko kazi hapa napopita nakutana na vijana mbaya zaidi ni karibu kila mtaa bapopita kufika nakoishi vigenge vya vijana huvikosi cha ajabu kikubwa ktk mazungimzo yao ni mpira tena vilabu vya Uingereza na Hispania wanavyopanga vikosi na kuonyesha kauli za umiliku wa timu kama vile wao ni mameneja wasaidizi wa timu hizo.

Vijiwe vya watu wazima na makamoni habari za wake za watu na kufumaniana

Tutafika kweli?

Najiuli

Sasa weye mkuu, utaweza kubadiri hobby na tabia za watu wawe kama weye?
 
Siku hizi kuna vijana wameanzisha style mpya. Wanashinda kwenye nyumba za ibada, shule hawaendi kazi kufundishana kuchukia wengine
 
Hakuna starehe kama mpira,siasa kwa nchi kama yetu nikujipa stress tu,mimi m1 wao napenda story za soka sana hasa la wenzetu,mpira wa ulaya ndio wenyewe sio wa kibongo majungu tu na kupiga marefa,
 
Great thinker

Watanzania hivi tumelogwa tunapenda starehe kuliko kazi hapa napopita nakutana na vijana mbaya zaidi ni karibu kila mtaa bapopita kufika nakoishi vigenge vya vijana huvikosi cha ajabu kikubwa ktk mazungimzo yao ni mpira tena vilabu vya Uingereza na Hispania wanavyopanga vikosi na kuonyesha kauli za umiliku wa timu kama vile wao ni mameneja wasaidizi wa timu hizo.

Vijiwe vya watu wazima na makamoni habari za wake za watu na kufumaniana

Tutafika kweli?

Najiuli

Well, wewe hapa upo kwenye kundi gani?........maana huwezi kuyafahamu haya kama wewe si miongoni mwao! na kama una nafasi ya kazi uliwahi kumpa kijana mwenzako connection akakataa? kuwa wewe na kibaruwa isiwe kigenzo cha kuwaona wenzako hawana akili, nakuomba kama una notebook andika maneno haya, "THERE IS NO PERMANENT SITUATION IN LIFE".
 
Kaka ni ukweli mpira burudani but watanzania tumezidi, unakuta dume linaipenda manchester kuliko ferguson anavyoipenda, badala ya kufanya kazi au biashara mda wote manchester halafu mwisho wa siku linalalamika maisha magumu,

Career world imenifundisha vitu vingi sana, kikubwa ni use your time and muda haurudi nyuma, wenzako wakina rooney, messi ronaldo na wengineo wapo kazini pale tunapowaangalia, ilo neno niliambiwa na mzungu mmoja hivi baada ya kutukuta tunabishana mpira muda wa kazi kipindi ndo nimeajiriwa direct from varsity,

So tubadilike wadau marekani imejengwa na wamarekani na tanzania itajengwa na watanzania wenye moyo
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Kaka ni ukweli mpira burudani but watanzania tumezidi, unakuta dume linaipenda manchester kuliko ferguson anavyoipenda, badala ya kufanya kazi au biashara mda wote manchester halafu mwisho wa siku linalalamika maisha magumu,

Career world imenifundisha vitu vingi sana, kikubwa ni use your time and muda haurudi nyuma, wenzako wakina rooney, messi ronaldo na wengineo wapo kazini pale tunapowaangalia, ilo neno niliambiwa na mzungu mmoja hivi baada ya kutukuta tunabishana mpira muda wa kazi kipindi ndo nimeajiriwa direct from varsity,

So tubadilike wadau marekani imejengwa na wamarekani na tanzania itajengwa na watanzania wenye moyo

Hiyo Avatar yako inakusuta na kuonesha wewe ni wale wale tu hapa unacholeta ni uchakumbi tu wala hakuna lingine!!....
 
Kuna hatari ukaja kushambuliwa na mashabiki wa soka. Hata hivyo hoja zako ni za kweli kabisa. Pamoja na watu kutetea kuwa kila mtu ana hobi zake lakini ni lazima hobi ziendane na ufanyaji kazi. Vijana siku hizi ni Man U tu na Barcelona. Wanajimilikisha timu. Watu wanaoelekea kuwa wamesoma kiasi fulani wanashabikia Uingereza na wale wanaoonekana kuwa na elimu ya chini zaidi wanabishana mambo ya Simba na Yanga (bila hata kujali viwango vya timu). Ulaya ndiko kwenye soka lakini si kawaida kwa wenzetu kujadili mambo ya mpira kwa kiwango cha kusahau kufanya kazi. Kwa kweli ni tatizo kubwa mno. Vyombo vya habari kwa kutambua hili vina-take advantage kwa kuandika yale wapenzi wa soka wanayopenda kusikia kama "Sunzu full baruti" au "Yanga kuigaragaza Zamalek." As long as mentality hizi zinaendelea nchi zetu zitaendelea kuwa masikini. Maneno yamekuwa mengi mno kuliko kazi.

Lakini pia usishangae sana, hii ndiyo Afrika. Afrika kwa sehemu kubwa haina inacho-export in terms of utamaduni, biashara na burudani inaishia ku-import tu ndiyo maana mabishano ya Yesu ni Mungu na Yesu si Mungu utayasikia sana huku. Afrika ina majukumu machache ya kufanya sasa isipofanya haya itafanya nini instead?
 
....... na kama una nafasi ya kazi uliwahi kumpa kijana mwenzako connection akakataa? kuwa wewe na kibaruwa isiwe kigenzo cha kuwaona wenzako hawana akili.........

Kuwa na nafasi ya kazi ama kibarua si kigezo cha kufanya kazi. Matola hivi umeshaona namna wafanyakjazi wengi wa halmashauri zetu wanavyofanya kazi (Wanavyoishia kupiga porojo)? Ukifika katika ofisi za Serikali utaishia kuambiwa njoo kesho, watu wako bize na ratiba za burudani. Matola usiishie kuniomba nikupe connection za kazi, nitakupa connection lakini bidii yako ikoje? Huishii kuzungumzia Liverpool? Au ndiyo kazi na dawa?
 
Ukweli ni kwamba, vijana tunakwepa au ni wavivu wa kujadili mambo magumu na ambayo yanajenga mustakabali wetu. Soka ni burudani, je baada ya burudani??????
 
Kuwa na nafasi ya kazi ama kibarua si kigezo cha kufanya kazi. Matola hivi umeshaona namna wafanyakjazi wengi wa halmashauri zetu wanavyofanya kazi (Wanavyoishia kupiga porojo)? Ukifika katika ofisi za Serikali utaishia kuambiwa njoo kesho, watu wako bize na ratiba za burudani. Matola usiishie kuniomba nikupe connection za kazi, nitakupa connection lakini bidii yako ikoje? Huishii kuzungumzia Liverpool? Au ndiyo kazi na dawa?
Labda unajichanganya mwenyewe mimi hapa sizungumzii wazembe kazini na mimi ni mmoja wa watu wakorofi ninapofika sehemu kupata huduma halafu watu hawatimizi wajibu wao, hapa nilikuwa nina maana si wote ambaop wako benchi ni wazembe au hawana akili kuna watu wamekosa fursa tu lakini kama una connection ukiwapa utashangaa mwenyewe wanavyowajibika.

Kwanza mimi mambo ya kijinga kushabikia mipira kama zuzu ndio siyapendi kabisa kwa sababu naufahamu mpira ukishakuwa teja wa upenzi wa mpira unakuwa kama zuzu, hata rafiki zangu wananishangaa mpaka leo hawajui mimi nashabikia timu gani Uingereza kumbe mimi sina timu huwa naangalia tu kama just a fun na huwa naamuwa siku hiyo niipende timu ipi!.......i have nothing to lose in football.
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Back
Top Bottom