Ng'wanamashi
Member
- Dec 30, 2010
- 9
- 0
Naomba mawazo yenu wana JF ni kwa nn wanawake wengi huwa wanawasamehe wapenzi wao pindi wanapowafumania tena bila shida huku wanaume inakua kazi kuwasamehe wapenzi wenu mkiwafumania?
Naomba mawazo yenu wana JF ni kwa nn wanawake wengi huwa wanawasamehe wapenzi wao pindi wanapowafumania tena bila shida huku wanaume inakua kazi kuwasamehe wapenzi wenu mkiwafumania?
Naomba mawazo yenu wana JF ni kwa nn wanawake wengi huwa wanawasamehe wapenzi wao pindi wanapowafumania tena bila shida huku wanaume inakua kazi kuwasamehe wapenzi wenu mkiwafumania?
Kwenye suala la mwanamke kusamehe:Ndo tumeumbwa hivyo na roho ya huruma........
Kwenye suala la kuendelea kuwa naye hata baada ya ku-cheat sababu ndo hizo hapo chini:
1..Kuna namna tumejengwa kuwa makosa fulani akifanya mwanaume yaweza sameheka while akifanya mwanamke hayasameheki
2..Kama umeshaolewa kwa mwanamke inakuwa ngumu kumuacha hasa kama una watoto na kipato chako binafsi hakitoshi kulea watoto
3.Woga
4.Pressure ya wazazi,ndugu na washenga
5.yawezekana mwenyewe na-cheat so si issue au nimezaa nje hajui
6.He is everything to you,anawatunza kwenu,anakutunza wewe,anasomesha watoto yeye.............
7..............................................................................................................................
kusamehe atasamehe ila cha moto utakiona!ahaha.Kamwe usidanganyike ndugu.... mwanamke hawezi kusamehe hata siku moja, bali hulipiza kimyakimya.... Ukimuona ametulia (yaani hakufuatilii tena, au haumii ukimcheat), basi ujue unayoyafanya nawe unafanyiwa tena kwa kasi sana....
wengi huwa wanaogopa nisipomsamehe nitapata wapi mwingine maana mmama mpaka ufuatwe lakini mbaba aweza kukuacha wewe kesho akapata mwingine
Wanawake wana roho za huruma sana na ndio wana upendo wa kweli kutoka rohoni akipenda hata iweje.....that how they are...
lakini vilevile akichukia utaomba ardhi ikumeze....
wengi huwa wanaogopa nisipomsamehe nitapata wapi mwingine maana mmama mpaka ufuatwe lakini mbaba aweza kukuacha wewe kesho akapata mwingine
Kamwe usidanganyike ndugu.... mwanamke hawezi kusamehe hata siku moja, bali hulipiza kimyakimya.... Ukimuona ametulia (yaani hakufuatilii tena, au haumii ukimcheat), basi ujue unayoyafanya nawe unafanyiwa tena kwa kasi sana....
:love::love::love::love::love::love::love::love::love: lakini kumbukeni mwanamke akitoka nje ya ndoa hakuna msamaha hakuna mwanamke awezae kutumikia wanaume wawili lakini kwa mwanaume hili linawezekana hata maandiko yanasema