cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
chukulia umefumaniwa live kitandani na mwanume na mzee akawasalimia tu na kutoka nje awasubiri mmalize starehe zenu abadili viatu miguuni........... baada ya hapo asichukue hatua yoyote akusalimie kama kawaida na aendelee na maisha kama kawaida............... je utaendelea kuishi hapo ukiwa na amani............... au utachukua hatua gani............... nisaidie hapo..............
kwanza kabisa siwezi kumsaliti mpenzi wangu!kwa hiyo sitafumwa kitandani na another man!
hata hivyo nijuavyo wanawake wanawafuma mara nyingi waume zao na wengine hadi anazaa nje lkn hawawapi waume zao sanasana atalia atabembelezwa yataisha,au wengine watatimua zao!
sasa kwa nini nyie ndio mjione na haki ya kuwapiga wake zenu?
je ukimpiga na kumsababishia matatizo ya kushindwa kuzaa,,si utamuacha na kutafuta anayezaa!!
kupiga wanawake ni ukatili!period!