Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
- Thread starter
- #21
I have seen the afliction of my people in Tanzania. Mwaka 2015 nawaomba wote watakaohusika na mchakato wa uchaguzi kuanzia hatua za awali wawe makini katika kupitisha majina ya wagombea Urais (Vyama vyote vya siasa vyahusika katika ombi hili). Vinginevyo tutaendelea kulalamika kizazi hata kizazi.
mbele ya rushwa unadhani hii itawezekana