Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Kila Mtanzania anajiuliza ni kwa nini Rais Kikwete na CCM wanadharauliwa? Hauwezi kumtaja Kikwete bila kuitaja CCM, na pia hauwezi kuitaja CCM bila kumtaja Kikwete kwa sababu, CCM ndiye mamake Kikwete, na Kikwete ndiye nyota ya CCM, kwa hiyo maovu yote yanayofanyika wote wanahusika kwa njia moja au nyingine. Rais Kikwete anadharauliwa kwa sababu zifuatazo.
1. Ni kiongozi dhaifu asiyeweza kufanya maamuzi ya aina yoyote. 2. Rais Kikwete anakumbatia mafisadi kwani mpaka leo, wezi wa rasilimali zetu kama Rostam, Chenge, Karamagi, Ngeleja, Lowassa hawajakamatwa licha ya ukweli kwamba ushahidi upo. 3. Rais Kikwete anatumia vyombo vya dola kwa maslahi yake binafsi hasa kuwakandamiza wananchi na wapinzani.anatumia polisi wkuwaua raia wasio na hatia. Mfano mzuri ni Dr. Ulimboka. 4. Rais Kikwete ndiye rais wa kwanza kuongwa suti ndani ya Ikulu ili auze nchi yake. 5. Rais Kikwete amegeuza ikulu kuwa sehemu ya kufanyia biashara, kwani hadi leo hajawahi kuitangazia umma wamiliki wa Richmond na Dowans. 6. Rais Kikwete amepanda chuki za kidini katika nchi yetu.
7. Rais Kikwete amekuwa akitumia rasilimazi zetu akizurura nje ya nchi bila kujali matatizo ya wananchi wake. 8. Ni rais wa kwanza Tanzania kujivunjia heshima kwa kutokuwa na uwezo wa kujadili mada katika anga za kimataifa. 9. Ni rais anayetumia cheo chake kuwanufaisha familia yake, hawara zake , ndugu na marafiki. 10. Ni mtu mwenye kinyongo na visasi vya hali ya juu. 11. Kuwepo kwake madarakani kumeleta matatizo makubwa ambayo taifa letu haijawahi kuyaona. 12. Ni Rais wa kwanza kufanya kazi za u-promoter ["JK Promotions"]akiwa ndani ya ikulu. Mfano ni kumpeleka Diamond Marekani.
13. Rais Kikwete na CCM wameuza rasilimali zetu, Wanyama pori, Ardhi, madini bila taifa kuambulia chochote. 14 Rais Kikwete ameleta kejeli hasa kutoka kwa majirani zetu akionekana kuwa mtu asiye na upeo wa uongozi. Rais wa Rwanda Paul Kagame aliwahi kusema kwamba, angepewa Rasilimali za Tanzania, Nchi yake ingekuwa ulaya ya Afrika.15 Rais Kikwete anathamini ngozi nyeupe (Wazungu) kuliko Watanzania anaowaongoza. Kwa mfano, Barrick Gold wamefanya unyama wa kutisha kule Tarime, lakini hadi leo ni kama vile hana muda kuwachukulia hatua hao wazungu. Wachina wanaligeuza nchi yetu kuwa dampo lao hakuna wa kuongea wala kunyanyua mdomo. 15. Serikali yake ni serikali isiyo sikivu, serikali inayopenda anasa kupita maelezo. Ni heri wanunue V8 kuliko kuwaokoa wanawake wanaojifungua
16. Ndiye Rais pekee duniani anayeweza kuzunguka akiomba omba huku akigawa dhaabu na almasi bure. Huyo ndiye JK
Napenda kufikia tamati kwa kutoa malalamiko yangu kwa MODS wa JamiiForums kwa sababu moja kuu kwamba, wao pia wanaanza kuingilia uhuru wa maoni kama Walivyo CCM. Jana nimeweka Uzi "Ikulu Imechafuka : Ni Hatari Hasa Rais Anapokuwa Promoter Wa Muziki" Ghafla huo uzi ulichakachuliwa na hatimaye kutowekaa. Hii inaonyesha kwamba hatuna tena uhuru wa maoni.Mods, tambueni kwamba, tunapigania mabadiliko. Hatutukani wala kumdhalilisha mtu, hatuna silaa. Silaa zetu ni mawazo yetu na ukweli usiofichika. Mnapoendelea kubania mawazo yetu, mjue kwamba mawazo yetu nayo yatapanuka zaidi hasa katika kutafuta mbadala wa kuyawaka bayana bila kuchakachuliwa
Hon: Member of Parliament
1. Ni kiongozi dhaifu asiyeweza kufanya maamuzi ya aina yoyote. 2. Rais Kikwete anakumbatia mafisadi kwani mpaka leo, wezi wa rasilimali zetu kama Rostam, Chenge, Karamagi, Ngeleja, Lowassa hawajakamatwa licha ya ukweli kwamba ushahidi upo. 3. Rais Kikwete anatumia vyombo vya dola kwa maslahi yake binafsi hasa kuwakandamiza wananchi na wapinzani.anatumia polisi wkuwaua raia wasio na hatia. Mfano mzuri ni Dr. Ulimboka. 4. Rais Kikwete ndiye rais wa kwanza kuongwa suti ndani ya Ikulu ili auze nchi yake. 5. Rais Kikwete amegeuza ikulu kuwa sehemu ya kufanyia biashara, kwani hadi leo hajawahi kuitangazia umma wamiliki wa Richmond na Dowans. 6. Rais Kikwete amepanda chuki za kidini katika nchi yetu.
7. Rais Kikwete amekuwa akitumia rasilimazi zetu akizurura nje ya nchi bila kujali matatizo ya wananchi wake. 8. Ni rais wa kwanza Tanzania kujivunjia heshima kwa kutokuwa na uwezo wa kujadili mada katika anga za kimataifa. 9. Ni rais anayetumia cheo chake kuwanufaisha familia yake, hawara zake , ndugu na marafiki. 10. Ni mtu mwenye kinyongo na visasi vya hali ya juu. 11. Kuwepo kwake madarakani kumeleta matatizo makubwa ambayo taifa letu haijawahi kuyaona. 12. Ni Rais wa kwanza kufanya kazi za u-promoter ["JK Promotions"]akiwa ndani ya ikulu. Mfano ni kumpeleka Diamond Marekani.
13. Rais Kikwete na CCM wameuza rasilimali zetu, Wanyama pori, Ardhi, madini bila taifa kuambulia chochote. 14 Rais Kikwete ameleta kejeli hasa kutoka kwa majirani zetu akionekana kuwa mtu asiye na upeo wa uongozi. Rais wa Rwanda Paul Kagame aliwahi kusema kwamba, angepewa Rasilimali za Tanzania, Nchi yake ingekuwa ulaya ya Afrika.15 Rais Kikwete anathamini ngozi nyeupe (Wazungu) kuliko Watanzania anaowaongoza. Kwa mfano, Barrick Gold wamefanya unyama wa kutisha kule Tarime, lakini hadi leo ni kama vile hana muda kuwachukulia hatua hao wazungu. Wachina wanaligeuza nchi yetu kuwa dampo lao hakuna wa kuongea wala kunyanyua mdomo. 15. Serikali yake ni serikali isiyo sikivu, serikali inayopenda anasa kupita maelezo. Ni heri wanunue V8 kuliko kuwaokoa wanawake wanaojifungua
16. Ndiye Rais pekee duniani anayeweza kuzunguka akiomba omba huku akigawa dhaabu na almasi bure. Huyo ndiye JK
Napenda kufikia tamati kwa kutoa malalamiko yangu kwa MODS wa JamiiForums kwa sababu moja kuu kwamba, wao pia wanaanza kuingilia uhuru wa maoni kama Walivyo CCM. Jana nimeweka Uzi "Ikulu Imechafuka : Ni Hatari Hasa Rais Anapokuwa Promoter Wa Muziki" Ghafla huo uzi ulichakachuliwa na hatimaye kutowekaa. Hii inaonyesha kwamba hatuna tena uhuru wa maoni.Mods, tambueni kwamba, tunapigania mabadiliko. Hatutukani wala kumdhalilisha mtu, hatuna silaa. Silaa zetu ni mawazo yetu na ukweli usiofichika. Mnapoendelea kubania mawazo yetu, mjue kwamba mawazo yetu nayo yatapanuka zaidi hasa katika kutafuta mbadala wa kuyawaka bayana bila kuchakachuliwa
Hon: Member of Parliament