ethicx
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 311
- 124
Wanatoa mpaka bachelor sahivi.Mkuu, UCC sio chuo, ni centre tu ya kutoa some professional programmes. Highest award wanayotoa ni Diploma (ordinary).
Wanatoa mpaka bachelor sahivi.Mkuu, UCC sio chuo, ni centre tu ya kutoa some professional programmes. Highest award wanayotoa ni Diploma (ordinary).
ni kweli ifm sio chuokikuu ni taasisi
ifm na taasisi nyingine kama tia,ija,iaa zinaruhusiwa kutoa bachelor mbona ,ila hazina uwezo wa kutoa phd tu na mengine mengi ningekueleza lakn jua hivyo kwanza ...sawa?
AU ULIKUWA UNATAKA KUPIGA MAJUNGU MAANA TAASISI NYINGINE UMEZIACHA UMEITAJA IFM TU.
Pia kuna hii ITA wataalam nayo mnaisemaje?
Narubongo na Nyota Yao wamemaliza kila kitu, hizi zinazoitwa institute zinakuwa zipo more specific kwenye fani flani flani ambazo ni chache kama ilivyo CDTI (community development, gender , project planning), IFM (finance and insurance), TIA (finance), Ushirika/MUCCOB (cooperatives) etc ambavyo those days vilikuwa vinatoa Advanced Diploma kabla ya kuvipa hadhi ya kutoa degree baada ya kufanya marekebisho kwenye mambo flani flani hasa kwenye issue ya kuongeza idadi ya wahadhiri waliobobea na katika vyuo vyote IDM mzumbe yenyewe ndio ilifanikiwa kuwa University moja kwa moja kwa kuwa hata kabla ya kuwa university ilikuwa ina course nyingi inatoanimekuelewa ndugu hata mimi nilikuwa sifahamu kwasababu ya kutokufuatilia, ila umesema kitu ambacho ni kweli hata mimi ninaingia bachelor ya account tia na sina shaka na chuo maana najua ni chuo kikongwe na account hapo ndio nyumbani kwao