harakati83
Member
- Aug 5, 2010
- 61
- 5
Ndugu wanajamii wenzangu, naomba kuleta hoja hii mezani kama wanaharakati tuijadili,tuone tatizo na pia tutoe Altenatives.
Ni kuhusu suala la Jairo, Serikali ambayom kimsingi kabisa sisi ndio mabosi wake,kwa niaba yetu nayo ili kazi ziende ikamwajiri Luhanjo naye kama wakala akamwajiri Jairo,kwa upande mwingine mabosi wa serikali ya tz ambao ni sisi tumeweka wawakilishi wetu(WABUNGE) kuisimamia serikali:-
Ni kuhusu suala la Jairo, Serikali ambayom kimsingi kabisa sisi ndio mabosi wake,kwa niaba yetu nayo ili kazi ziende ikamwajiri Luhanjo naye kama wakala akamwajiri Jairo,kwa upande mwingine mabosi wa serikali ya tz ambao ni sisi tumeweka wawakilishi wetu(WABUNGE) kuisimamia serikali:-
- Naunga mkono Jairo kufutwa kazi kupitia waziri mkuu
- Napinga kwa Nguvu zangu zote Jairo kufukuzwa bila mawaziri wake Ngeleja&Malima kufutwa(sio kujiuzulu) uwaziri
- Kama mkicheki kwa umakini Luhanjo alifanya kitu kama kuwakumbusha wabunge kuwa Hatukatai wabunge(P.M kama sehemu ya wabunge)kumfuta Jairo(ambaye ni mtendaji)kazi ila kwanini wabunge wanakuwa Bias kwa Kuamua kabisa kwa makusudi kujadili mtendaji (Jairo) katika issue ambayo ana bosi wake (mwanasiasa/waziri lakin zaidi mbunge) ambao ni Ngeleja&Malima, kama ni kuwajibisha ilifaa iwe wote.
- kwa kutambua hilo akaamua kufanya kinachoitwa kulindana( yaan wabunge si wanawalinda wabunge wenzao(malima & ngeleja)ambao ni wanasiasa,basi wacha namienimlinde mtendaji mwezangu Jairo.
- Ushauri wangu wote wafutwe kazi (jairo,luhanjo kwa upande mmoja na Malima&ngeleja kwa upande mwingine.