Ghost
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 428
- 53
Mkuu hii mbona ni serious accusation, ila kama ni kweli itabidi uendelee kufuatilia hao/huo jama. Lakini pindi unapomaliza au kupata taarifa na evidence ya kutosha, cjui utapelekea nani ili sheria ifuatwe? Kwasababu kama wengi walivyosema hawa jama wanalindana.Ni rahisi sana kwangu kutoa pole kwa jeshi la Polisi na familia ya askari aliyeuwa wakati ule, lakini ni ngumu na haiwezekani kabisa kwangu kuwapongeza au kuamini kuwa wameua jambazi hawana, utashi,sura,maadili wala maumbile ya kuaminiwa.
Kuna askari mmoja wa upelelezi na wenzake , naendelea kufuatilia taarifa zake, kuwa kila anapohamishiwa baada ya muda kuna kikundi cha vijana 'wake' hufuata, vijana hao hufanya shughuli za utekaji magari ili kuibia abiria na uhalifu mwingine wa kiporaji kwa kutumia silaha au wa kuaminika.
PS: Hongera kwa upelelezi huu, kumbe kuna watu kama nyie wanaopenda nchi yao. Big Up