Msaada: Bachelor of information technology 'IT'

TZ boy

JF-Expert Member
Jan 11, 2012
624
181
Jamani napenda kuuliza hv mtualiye soma hiyo kozi ya ICT kwa hapa tanzania anafanya kazi sehemu gani na mtu aliye soma mchepuo wa EGM anaweza akaisomea afikapo chuo..sorry vp kibongobongo ajira zake vp ?
ANSATENI...
 
due to continual improvement of hardware/software stability then core Comp sc isn't big deal in modern world (exclude tz). It's big deal if you have Bsc in comp sc and bachelor or master in health admn/business/HR/Actuarial science ... these fields need advanced computer users.
 
wakuu naomba mnisaidie hii koZi ya IT ukishamaliza mafunzo unaweza ukaajriwa ktk sekta zip?
na sifa za kujiunga kwa ngaz ya chet ikiwezekana ntajie na vyuo vinavyotoa hii kozi..
 
Unaweza jiajiri mwenyewe, vilevile unaweza kuajiriwa kama programmar, it manager nk. Vyio kama chuo cha uhasibu arusha, kampala university, jr insitut arusha wanatoa certifct, vigezo kwa mwaka huu sijui ila miaka ya nyuma ilikulazimu uwe na pass 4, yaani D nne na kati ya hzo d, isikosekane ya hesabu au english lazima kati ya moja iwepo au zote.
 
Kila coz hakuna ajira, we soma ukimaliza jiajiri mwenyew... ukisubir kuajiriwa utazeeka bureee mtaani
 
wakuu naomba mnisaidie hii koZi ya IT ukishamaliza mafunzo unaweza ukaajriwa ktk sekta zip?
na sifa za kujiunga kwa ngaz ya chet ikiwezekana ntajie na vyuo vinavyotoa hii kozi..

Utaajiriwa popote wanapotumia compyuta na mawasiliano ya kielektroniki. Jaribu kufanya kitu ambacho unapenda na una uwezo nacho na pia unahisi kwamba unaweza kuonyesha utofauti na walio wengi. Usisome tu kisa kozi flani inalipa. Hata unesi na udaktari unalipa vile vile ila je unaweza kumhudumia mgonjwa wa ebola hata ukipewa mask?
 
Unaweza jiajiri mwenyewe, vilevile unaweza kuajiriwa kama programmar, it manager nk. Vyio kama chuo cha uhasibu arusha, kampala university, jr insitut arusha wanatoa certifct, vigezo kwa mwaka huu sijui ila miaka ya nyuma ilikulazimu uwe na pass 4, yaani D nne na kati ya hzo d, isikosekane ya hesabu au english lazima kati ya moja iwepo au zote.

asante mkuu nimekuelewa
 
Utaajiriwa popote wanapotumia compyuta na mawasiliano ya kielektroniki. Jaribu kufanya kitu ambacho unapenda na una uwezo nacho na pia unahisi kwamba unaweza kuonyesha utofauti na walio wengi. Usisome tu kisa kozi flani inalipa. Hata unesi na udaktari unalipa vile vile ila je unaweza kumhudumia mgonjwa wa ebola hata ukipewa mask?

ushaur wako mzur nashukuru
 
Course za ICT zipi? Maana zipo nyingi sana.. Pitia websites za vyuo mbalimbali ili walau ujue ni kozi gani zinatolewa. Mfano UDOM kuna zaidi ya kozi 10 za ICT peke yake. Kutoka hapo ndo waweza kushauriwa.
 
Msaada kwa anayeijua vizuri hii kozi ya Information Technology inasoko mtaani? Na inakuwa na content gani na ni chuo gani ni kizuri kusoma kozi hiyo
 
Naombeni kujua kuhusu hii coz ya Information technology soko lake na chuo kinachotoa coz hii vizuri
 
Naombeni kujua kuhusu hii kozi ya Infomation technology na ulipaji wake mtaani! Na ni chuo gani kinachotoa kozi hii vizuri ngazi ya diploma!
 
Back
Top Bottom